Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,397
- 19,323
Kwani imeendelea!!??? Si imefungiwa kitambo tuWakuu mpo?
Ebhana hiiii american odyssey ni balaa. Watching it now baada ya kuwa naiweka kapuni for so long
Nadhani usahii zaidi ni kwamba, Michael hakuwahi kumpenda T-Bag from day one sema unakuta anabananishwa na mazingira yanayotengezwa na T Bag mwenyewe na hivyo Michael kutokuwa na choice zaidi ya ku-team up na T-Bag huku kila mmoja akipiga hesabu za kumtosa mwenzake soon mission iliyowakutanisha ikishakuwa accomplished!!T Bag ..!!
Huyu jamaa hawajawah kupendana na Michael ila kuna kipindi ilibidi wategemeane ili kukamilisha mambo ..!!
Hiv yule mdada mwenye macho ya paka, yupo au alikufa ..?!
Twisting the show when you blindly "kill" a very important Character!! If not twisting, kama alisalimika na ile suicide basi brain tumor ingemwondoa! But neither suicide nor brain tumor ambayo ilimwondoa na bado akaweza kutumikia Jela ya Yemen!Hakufa
Gretchen mzima wa afya sema yupo jela!Grichen Morgan alikufa
t bag ni genius kama alivyoigizaKuna jamaa alisema tbetg alikuwa genius kuliko Michael as kwakuwa mipango ya Michael aliisoma bila wao kujua ingawa kundini walimtosa lakini jamaa alikuwa anatafuta njia wanakumbana nae tena.....ila ukicheck nikweli ingawa jamaa alikuwa anaudhi ukatili wake
Mwaka huu brooMpka mwezi wa tisa
Hapana nilisikia ina ufirauni nikaachaUmetazama banshee? Kuna kitu nataka kuuliza.
No vilikuwa ni vitoto tu vya jirani, vinapenda kuja kucheza kwangu, sasa wakaja wakati ndio naianza nikatoka kuwaletea juice, ile narudi nakuta mnjunjuano alafu vinaambiana 'ona wanapigana! Aisee nilizima fasta nikawaambie tukacheze nje.
Yaani nilistuka kidogo na juisi yenyewe niimwage!! Alafu vitoto vyenye vimefurahia vimetoa macho tu!kama nakuona hilo pozi lilivoisha
Watoto wa sikuizi hapo mchezo mzima walikua wanauelewaYaani nilistuka kidogo na juisi yenyewe niimwage!! Alafu vitoto vyenye vimefurahia vimetoa macho tu!
Alafu vinaambiana "ona wanapigana" ni wadogo sana hata kuongea vizuri hawawezi, naomba iwe hawakuelewa chochote, nilijisikia vibaya sana aiseee!!Watoto wa sikuizi hapo mchezo mzima walikua wanauelewa
PoleAlafu vinaambiana "ona wanapigana" ni wadogo sana hata kuongea vizuri hawawezi, naomba iwe hawakuelewa chochote, nilijisikia vibaya sana aiseee!!
Unatumia website gani?Year mkuu zote nimechek ndio ninazo hapa, nyingine nifuta hapo kupata. Ila bado naendelea kudownload