Series (Special thread)

Series (Special thread)

,nlskia hivo ila coz namuelewa Sanaa ntafatilia sana story interview na info kiundan hazina ukweli hivi shonga anaweza kuwa strong kivile shoga anaweza kukimbia kias kile jmn kama hakuna uhakika wa hiyo kitu tu mchunie manake wa bongo

Unajua WWE kuna mashoga wa ngapi? Na misuli yote ile watu wanafira tu, hawajali wala nini
 
Alikuwa jela kumbuka alitaka kutoroka na Sarah ikashindikana grichen morgan mpambanaji sana alizaa na general kruntz kile kibint Emile
Mkuu umenikumbusha mbalii sana,,grichen dada katili wa kimya kimya ambaye mtoto wake anajua kwamba yy ni dada ake
 
Mkuu umenikumbusha mbalii sana,,grichen dada katili wa kimya kimya ambaye mtoto wake anajua kwamba yy ni dada ake
Yaah!anamuita aunt waqt ni mama yake kumbuka tbag alipokuwa pale mpaka akaja kutekwa na Panama yule mlinzi wa general aliejifanya mchungaji.
 
Daaah huyu mother of dragon the unburnt lady khaleeesi kwa mikwara tu hajambo. Ukiongeza na hio mitoto yake midragon ndoo kabisaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom