Series (Special thread)

Series (Special thread)

nimeishia season 2 .....vp yule shoga alikufa maana ndo alikuwa kikwazo cha mimi kuendelea nayo
Daaaah yani kama Mimi...... Yani nikikuta tu kuna shoga nachukia sana hiyo series banshee niliacha kwa sababu hiyo hiyo..... Na Empire ndio duuuu.... Nkaacha kabisa
 
Daaaah yani kama Mimi...... Yani nikikuta tu kuna shoga nachukia sana hiyo series banshee niliacha kwa sababu hiyo hiyo..... Na Empire ndio duuuu.... Nkaacha kabisa
Sasa Tyrant S03E05 ndio kichefuchefu. Sammy na Mwalimu wake live bila chenga

Kaka.
 
Daaaah yani kama Mimi...... Yani nikikuta tu kuna shoga nachukia sana hiyo series banshee niliacha kwa sababu hiyo hiyo..... Na Empire ndio duuuu.... Nkaacha kabisa
Kwenye Banshee yule job kaeti shoga lakini hakuna scene hata moja ikimuonesha akiliwa kama yule shoga wa Empire
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom