Series (Special thread)

Series (Special thread)

Boss inaleta maandishi pale una bofya kwa ajili ya ku download yakielekeza kuw u log in kwa Member..

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app

Mkuu upload screen shot ya hiyo page browser na ionyeshe web address, ili nijue jinsi ya kukusaidia otherwise unaweza kusema ni series gani unataka nikupe link nyingine.

Asante
 
Anayefahamu series za kimalekani zinazohusu mambo ya FBI na nzuri kutizama anisaidie plz
 
ukitaka kuielewa game of throne ujitahidi isikupite hta scene moja yaan ukiongea na simu weka pause nk na maneno uyaelewe vizuri sana wanayozungumza ni vizuri ukadownload na subtitle yake ili uielewe zaidi na season 2 mwishoni ndo inaamza kuchanganya ni moja kati ya seriez kari sana km ilipoishia sa hv JON SNOW kama kafa najiuliza itakuaje na jeshi la wafu ndo linazidi kukua nahisi utamu unazidi kukolea

Mkuu naomba unielekeze jinsi ya kudownload na subtitle cz mara nyingi huwa nadownload bila subtitle
 
Mtoto kamuua babake hospital baada ya kugundua babake ndiye alimuua mke wake
 
Homeland,24hrs,the unit,13,hours in Benghazi,strike back,ninyingi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom