Cendy
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 1,252
- 2,314
Horse doctorDoctor house utaipenda
Horse doctorDoctor house utaipenda
Ndugu uliza uelekezwe njia ya kwenda, huku umepoteaShikamoo wakubwa jaman kuna bint anatafuta kazi ya ndan sehem yoyote yupo tayar kwenda ila ye yupo mbeya ni bint mwenye umri wa miaka 20 kutokana na ugum wa maisha ktk family hivyo kwa anaetafuta maichana yupo


NumbeRs..
It is an Epic series that u wont get BoreD while watching..
Key concept ya hii series ni kuonyesha Namna ambavyo MATHEMATICS inavyotumika ktk kutafuta Majawabu,kufumbua matatizo,kubashiri Matukio,Kurahisisha utatuzi wa vitu vigumu Hasa hasa vya kiuhalifu,Kijamii,Kitaaluma n.k,Mathematics ni pana kiasi kikubwa Sanaa
Main character ni mwana ana asili ya KiYAHuDi,Genius...
Dah!minashindwaga kufatilia tatizo lugha!dahHabari wakuu....
kwa wale wafatiliaji wa series/season,binafsi mimi ni mfatiliaji wa season tena hasa napenda season zinazohushisha sana mambo ya afya mfano mzuri series ya kikorea iitwayo DOCTOR STRANGER hii series ni best kwangu sababu kubwa ni kwakuwa inahusu mambo ya afya.
Series gani nyingine mnazozijua wazee ambazo zinahusu mambo ya afya na ni nzuri ambazo muangaliaji hawezi kuchoka kutazama....?
Ahsanteni.
Boss inaleta maandishi pale una bofya kwa ajili ya ku download yakielekeza kuw u log in kwa Member..View attachment 372624
View attachment 372624 View attachment 372625
Hakuna hiyo kitu unayosema na hii site haiitaji Password wala username, appearance ni kama nilivyo attach.
"Nyoka ukishamuua lazima tu atatingishika mkia hata kama amekufa, unaweza ukadhani ni mzima kumbe ameshakufa"
John Pombe Magufuli
Dah kwa dar hapo zinapatikana maeneo ganiMkuu kuna jamaa alikuwa anauza dvd nikaikuta hiyo. Ebwana unaweza usilale. Natafuta kwa wauza cd na ukiipata nijuze.
Same taste,Dah MI napenda series za kijasusi kama 24,nikita na iris. Kama unazo nyingine nisaidie