Msuya Jr.
JF-Expert Member
- May 31, 2013
- 1,691
- 900
But I think daredevil iliishaBahati mbaya sikuipenda so sikuifatilia tena.
Ktk hizo minasubiri kwa hamu power come June.
Ongeza GOT na last ship na 24 na into the badlands na daredevil.
But I think daredevil iliishaBahati mbaya sikuipenda so sikuifatilia tena.
Ktk hizo minasubiri kwa hamu power come June.
Ongeza GOT na last ship na 24 na into the badlands na daredevil.
Na mm nipooooo niungeeee,, 0765772216Nakuja fasta uniunge men![]()
Season two yes. Nasubiri season 3But I think daredevil iliisha
Mie hii ilinishinda kabisa
We zimekushinda nyingi tu sishangaiMie hii ilinishinda kabisa

Hahahaaaa! Hizi za mapanga mapanga zimegoma kabisa kukubalika kichwani kwangu.We zimekushinda nyingi tu sishangai![]()
Mkuu unapakuaje hizi series nijuze na mimiIpo inaendelea na juz nmepakua season3 ep4
Koz ni mudaderHahahaaaa! Hizi za mapanga mapanga zimegoma kabisa kukubalika kichwani kwangu.

Hahahaaaa! Mbona kuna wadada wanazipenda, Ila ile ya aklees kibonge niliipenda, nimeisahau jinaKoz ni mudader![]()
O2tvseries.com auMkuu unapakuaje hizi series nijuze na mimi
Halafu nami nimeisahau etiiii daaah. Ile uliipenda koz mapanga sio mengi.Hahahaaaa! Mbona kuna wadada wanazipenda, Ila ile ya aklees kibonge niliipenda, nimeisahau jina
Ujue umeniweka ktk wakati mgumu eti najaribu kuikumbuka jina inagoma.Hahahaaaa! Mbona kuna wadada wanazipenda, Ila ile ya aklees kibonge niliipenda, nimeisahau jina

Niliipenda sababu ya aklees, alikuwa ananifurahisha sana, muogaaa alafu ana misifa.Halafu nami nimeisahau etiiii daaah. Ile uliipenda koz mapanga sio mengi.
Inaitwa atlantisUjue umeniweka ktk wakati mgumu eti najaribu kuikumbuka jina inagoma.
Ila yule princess ndio alinifanya niipende ile series maaana daaah![]()

Ewaaaaa. Jamaaa alikua anachekesha sana. Hasa pale waende kwa wale witches waliomchukua demu wake.Inaitwa atlantis![]()