Meja Jenerali Isamuhyo
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 3,103
- 9,591
56 days 😂😂
Hatari hapo kusubiri season 2Nimemalizana na Spatakazi House of Asher 😁
It was worth it.
Mzee wetu wa maana kabisa anatuletea kigongo kinaitwa NORMAL ifikapo April 17. This time mzee huyu ni sheriff
Mtiti wa humu ni mtamu asee 😁😁
View: https://youtu.be/vbgLLCpjiJY?si=1Ybjp3Y4fui2PKtJ
Vincenzo Jr
OHB11
dosho12
ilitoka tukumbushane
Napataje English subtitles ya hii movie maana nimejaribu vlc,subscene, open subtitles zote holaMRejesho wa movie ya CRIME 101 yupo mwamba mule CHRIS HEMSWORTH
Hii nasikia watu wana isifia sana, ila mi naona kama inafanana na Celebrity kama ishaiona kwa jinsi ilivyokaa ni kama hyo celebrity nayo ni ya korea piaKorean drama series:The Art of Sarah
Moja Kati ya pieces Kali ni hii Kuna mauaji yanafanyika ila Sasa haijulikani anayefanya ni muhusika yupi kwa sababu muuaji ana identity tofauti tofauti ishu ni kumjua ni identity yupi ni sahihi? Ndipo hapa police kwenye kitengo cha investigation wanapokuna kichwa kumpata the real suspect
Celebrity ikoje?Hii nasikia watu wana isifia sana, ila mi naona kama inafanana na Celebrity kama ishaiona kwa jinsi ilivyokaa ni kama hyo celebrity nayo ni ya korea pia
Kuna msichana mmoja na ndoto ya kuwa mtu maarufu, sasa kwa bahati ikatokea akwa maarufu kwa muda mfupi tu na kama kawaida akaanza kutafuta marafiki ambao ni maarufu akawa anajua ni marafiki zake kumbe sio wanasemana wao kwa wao pia wanajihusisha na uhalifu, wakawa wanamuonea wivu mpaka wakapanga kumuua ila wao wakawa wanajua wamefanikiwa kumbe alifanikiwa kupona na ana anza kuvujisha siri zao kwa uma kidogo kidogo bila wao kujua wao wakijua ni wana snichiana wenyewe kwa wenyeweCelebrity ikoje?
Hii inaonesha ni Kali ila haifanani story na hii ya The art of SarahKuna msichana mmoja na ndoto ya kuwa mtu maarufu, sasa kwa bahati ikatokea akwa maarufu kwa muda mfupi tu na kama kawaida akaanza kutafuta marafiki ambao ni maarufu akawa anajua ni marafiki zake kumbe sio wanasemana wao kwa wao pia wanajihusisha na uhalifu, wakawa wanamuonea wivu mpaka wakapanga kumuua ila wao wakawa wanajua wamefanikiwa kumbe alifanikiwa kupona na ana anza kuvujisha siri zao kwa uma kidogo kidogo bila wao kujua wao wakijua ni wana snichiana wenyewe kwa wenyewe
Hii art of sarah sijaicheki ngija nije niitafute maana wana ipa sifa mnoHii inaonesha ni Kali ila haifanani story na hii ya The art of Sarah
Iko vizuri inabidi ule ushibe ndio uilewe usipofanya hivyo itakuconfuseHii art of sarah sijaicheki ngija nije niitafute maana wana ipa sifa mno
Yani ni kama hawajairelease vzuri hii movie...Nasubiri version ya HDNapataje English subtitles ya hii movie maana nimejaribu vlc,subscene, open subtitles zote hola
Nimeona reviews nyingi zinasema Season 3 ina action nyingi zaidiThe Night Agent S3. Iko Vizuri Sana kuliko Season 2.
Nilitaka kusita kuiangalia Maana Season 2 ni kama walienda chaka hivi. Ila Hii Season 3 walituliza kichwa.
Sehemu moja tu ndio wameniangusha. Ni hivi
Yaani Peter hajaona zile red flags zote kushoto, kulia, Juu, chini, pembeni, ndani, nje hadi koridoni anazopewa na Mtoto wa Kihispaniona pale mwishoni kwenda kumla Barcelona ilipo mizimu ya mababu zake ili utamu uwe bampa tu bampa daaah.
Kaniangusha Sana Mwamba.