Series (Special thread)

Series (Special thread)

The Night Agent S3. Iko Vizuri Sana kuliko Season 2.

Nilitaka kusita kuiangalia Maana Season 2 ni kama walienda chaka hivi. Ila Hii Season 3 walituliza kichwa.

Sehemu moja tu ndio wameniangusha. Ni hivi

Yaani Peter hajaona zile red flags zote kushoto, kulia, Juu, chini, pembeni, ndani, nje hadi koridoni anazopewa na Mtoto wa Kihispaniona pale mwishoni kwenda kumla Barcelona ilipo mizimu ya mababu zake ili utamu uwe bampa tu bampa daaah.

Kaniangusha Sana Mwamba.
Ndio naianza hapa, kiukweli season 2 walizingua japo yule mtoto wa kiIran Noor Taheri alikua wa moto na kijishungi chake
 
9DFB3900-C578-4F1F-A272-DE3A153DF4F6.png

Hii movie mnaangalizia wapi🙂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom