Mwananchi B
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 2,050
- 4,602
Hii Hijack Season 2 Mwandishi Kazingua,
1. Sababu ya kuteka treni nzima Sababu ya Mwanamke tena ambae walishaachana huko. Na ambae tayari huyo Mwanamke ana mwamba mwingine anakula.
2. Abiria waliotekwa walipata chance nyingi na za wazi za kutoka nje ya treni lakini hawakutoka (Hakuna uhalisia).
Bora hata Bomu lingekuwa labda na condition kwamba uzito wa treni ukipungua tani Fulani linakuwa Armed na kuanza kuhesabu countdown.
Halafu yule Chief of Police daah, Kilaza Sana.
Na yule binti aliekuwa Control centre ya treni yaani mpaka episode ya 7 sijajua Kazi yake nini, kazubaa tu, hajiongezi, hatoi ushauri wowote, anatoa tu macho.
Yaani series haina Msisimko Kabisa.
1. Sababu ya kuteka treni nzima Sababu ya Mwanamke tena ambae walishaachana huko. Na ambae tayari huyo Mwanamke ana mwamba mwingine anakula.
2. Abiria waliotekwa walipata chance nyingi na za wazi za kutoka nje ya treni lakini hawakutoka (Hakuna uhalisia).
Bora hata Bomu lingekuwa labda na condition kwamba uzito wa treni ukipungua tani Fulani linakuwa Armed na kuanza kuhesabu countdown.
Halafu yule Chief of Police daah, Kilaza Sana.
Na yule binti aliekuwa Control centre ya treni yaani mpaka episode ya 7 sijajua Kazi yake nini, kazubaa tu, hajiongezi, hatoi ushauri wowote, anatoa tu macho.
Yaani series haina Msisimko Kabisa.