Series (Special thread)

Series (Special thread)

Naona Long Walk inanishawishi kuishusha. Yeyote alieicheki mpaka sasa naomba atoe comment fellas.
Kulikuwa kama na katatizo ka uchumi na dystopian vijana hawana ajira wanashinda mtaani tu so ikatokea kama kishindano hivi mshindi atakaye patikana kwenye the long Walk anakula kibunda kirefu ukipenda kiite large cash prize 😂 😁 😃

Wazee wa kazi waliita competitive walking marathon
 
Chase infiniti ni mkali sana
Hiki.kitoto dah! Kizuri sana
VF0925-VF-Chase-Infiniti-03.jpg
images.jpeg
 
Naona Long Walk inanishawishi kuishusha. Yeyote alieicheki mpaka sasa naomba atoe comment fellas.
Shindano la kutembea Bila kusimama mahali popote huku gari la Askari lipo nyuma na mbele linawa-monitor, ukipunguza mwendo kutembea ama ukisimama unapewa warning mara 5 ama wanakushoot na risasi. Hakuna kusimama mwanzo mwisho, walikuwa wengiii Hadi mwisho akabaki mmoja Tu. Sio kali Naipa 5/10
 
Kulikuwa kama na katatizo ka uchumi na dystopian vijana hawana ajira wanashinda mtaani tu so ikatokea kama kishindano hivi mshindi atakaye patikana kwenye the long Walk anakula kibunda kirefu ukipenda kiite large cash prize 😂 😁 😃

Wazee wa kazi waliita competitive walking marathon
wanadai nia ilikuwa kupunguza pia idadi ya vijana, sababu we all know vijana wasio na ajira wakizidi mitaani while maisha magumu nini huwa kinatokea, ndiyo maana mwishoni ilibidi iwe vile kwa yule dictator..!
 
Shindano la kutembea Bila kusimama mahali popote huku gari la Askari lipo nyuma na mbele linawa-monitor, ukipunguza mwendo kutembea ama ukisimama unapewa warning mara 5 ama wanakushoot na risasi. Hakuna kusimama mwanzo mwisho, walikuwa wengiii Hadi mwisho akabaki mmoja Tu. Sio kali Naipa 5/10
umeiwaza kwenye scenario ya maisha..!? the moment umeingia kwenye mkimbizano na mapambano ya maisha there’s no turning back, hakuna mapumziko, hakuna kurudi nyuma, ni either ukate tamaa ufe, ama upambane mpaka mwisho, ila bado mwendo ni ule ule kufa ndiyo njia yetu sote ya mwisho..! and it was more of psychological more than physical..!
 
afterburn inahusu nini mkuu..!?
Bwana mmoja ana saka zake Mali (treasure hunting) kwenye miji iliyo haribiwa. Baadae anapewa misheni ambayo yeye anaenda akijua ni misheni aliyo ambiwa kumbe anajikuta katikati ya vijana kutoka kwa mzee wa ma vodka Russia hapo ndo mtiti unapo anzia. Katika harakati zake hizo anajikuta kwenye karakana Fulani n baadae anagundu kuwa misheni ilikuwa ya kuzuia BOMU lisiangukie mikononi mwa watu wasio husika.

BOMU Hilo kwa mujibu wa story teller anadai yaliundwa mawili tu huku Moja lilitumika miaka mingi iliyo pita na USA kuangamiza miji Fulani huko kwa wavimba macho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom