dosho12
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 3,700
- 9,850
Hapo nimeiona House of dragon tu
Hapo nimeiona House of dragon tu
Kwenye hiyo series Kuna masta alikuwa anaenjoy sana kwa huyu mchumba 😃Hapo nimeiona House of dragon tu
Kuna mshauri wake yuke kilema anayetembea na fimbo aliona mguu tu akaanza kunyetuka 😁Kwenye hiyo series Kuna masta alikuwa anaenjoy sana kwa huyu mchumba 😃
Mtoto mzuri sana huyu brother 😎Kuna mshauri wake yuke kilema anayetembea na fimbo aliona mguu tu akaanza kunyetuka 😁
😁😁😁😁😁Mtoto mzuri sana huyu brother 😎
Kama yule mtoto aliyekuwepo kwenye avata ya Carleen
Niliwahi kumuona nikamuita carleeen kumbe ni Elizabeth 😃
Bange ni miyeyusho sana 😀
Ilikuwa Moshi pale Kilimanjaro International Airport midaa ya saa 2 za usiku nilikuwa nasubiria mwewe nirudi zangu daslamu mida ile kichwa kishapata moto 🔥 huko nilipotoka nikamuona mtoto mzuri Elizabeth nae alikuwa anaenda dar mda ule si nikamtazamaa weee afu nikaropoka pale lile eneo nikaita carleeen 😀😀 Kuna mwanangu akaniambia mwanangu ushadata 😀😀 hadi naingia kwenye chuma ya Precision Air yule mtoto kama alinichanganya walahi dah!😁😁😁😁😁
hukuwahi nisimulia hii kabisa..!
nilikuwa nanyoa those days, kuna rafiki yangu akaniambia nafanana naye ndiyo sababu ya kumuweka Elizabeth Mramba avatar,
Watz miyeyusho sana mwanangu 😃😃😃😁😁😁😁😁
hukuwahi nisimulia hii kabisa..!
nilikuwa nanyoa those days, kuna rafiki yangu akaniambia nafanana naye ndiyo sababu ya kumuweka Elizabeth Mramba avatar,
sahii nimerudi kusuka naambiwa nafanana na Jennifer Kyaka ‘Odama’, Watz wamenishinda..!
Mule nilimkubali sana yule demu wake mrusi wa kuitwa annaNimemaliza kuirudia BANSHEE season zote, itoshe kusema sijutii kuirudia series hii
Anapenda sana bakoraMule nilimkubali sana yule demu wake mrusi wa kuitwa anna
ile kitu wanawake wanaipenda sana walahi 😎 😀😀😀Anapenda sana bakora
Unaangalia mara inarudi miaka ya nyuma mara iyo miaka ya nyuma inarudi tena walinishangaza tu pale mtoto kamzaa mama yake mzazi ambaye alimzaa miaka kazaa nyuma apo kweli bila GB za kutosha kwenye ubongo HUTOBOIHii inabidi uwe na Ram kuanzia 8 mana ilifik kipind nilikoma.
Hatari sana aiseeUnaangalia mara inarudi miaka ya nyuma mara iyo miaka ya nyuma inarudi tena walinishangaza tu pale mtoto kamzaa mama yake mzazi ambaye alimzaa miaka kazaa nyuma apo kweli bila GB za kutosha kwenye ubongo HUTOBOI
😹😹😹😹Ilikuwa Moshi pale Kilimanjaro International Airport midaa ya saa 2 za usiku nilikuwa nasubiria mwewe nirudi zangu daslamu mida ile kichwa kishapata moto 🔥 huko nilipotoka nikamuona mtoto mzuri Elizabeth nae alikuwa anaenda dar mda ule si nikamtazamaa weee afu nikaropoka pale lile eneo nikaita carleeen 😀😀 Kuna mwanangu akaniambia mwanangu ushadata 😀😀 hadi naingia kwenye chuma ya Precision Air yule mtoto kama alinichanganya walahi dah!
Vin apewe maua yake au atafutiwe mtoto mmoja mzuri 😁 ,mi niliangalia pamoja na paradise nayo ni nzuri piahalafu I was to forget, kipindi cha uchaguzi nilitazama ‘9 bodies in a mexican morgue’, kwa aliyeshauri hii series hajaniangusha nampa heko..!🔥🔥
Hapana kwakweli ila huyu wa sasa kanibadisha hadi dini lakini wapi bado naendelea kupenda watoto wakali 😎 yaani dah kutoka kuitwa Charles now naitwa Khalid😹😹😹😹
ila Vinnie bhaana, kuna siku hujachanganywa na mtoto mkali kweli..!??
hivi in real life una mahusiano yaliyonyooka kweli..!?
😅😅 Assalam aleikum shekh khalidnaitwa Khalid
😆😆😆😆Vin apewe maua yake au atafutiwe mtoto mmoja mzuri 😁 ,mi niliangalia pamoja na paradise nayo ni nzuri pia