Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,201
- 79,656
NGoja nipite nayoNaona Mayor of Kingstown wameachia season 4. Episodes mbili tayari zipo hewani
NGoja nipite nayoNaona Mayor of Kingstown wameachia season 4. Episodes mbili tayari zipo hewani
Series ngumu hii mpaka naimaliza sijaielewaMida kama hii MIKKEL NIELSEN
Nov 4 2019 alipotea alienda huko future na mtoto wake Jonas.
Npo salama kakaWanangu huko mlipo mmenusurika dosho12 if cap fits Mr Q Angel Nylon Depal Carleen Lovelovie
Huku nilipo mwenzenu nilikuwa sikai sebuleni Kila muda sauti za risasi aisee😭
Ni kwema site gani hii?View attachment 3497429View attachment 3497430
Movie na series kalii zilizofika online 😎 Cc Carleen Mr Q if cap fits dosho12
Anza na hiyo series ya kuitwa watching you 😃
Ni hii ndugu yanguNi kwema site gani hii?
todaytvseries.one
Wanangu huko mlipo mmenusurika dosho12 if cap fits Mr Q Angel Nylon Depal Carleen Lovelovie
Huku nilipo mwenzenu nilikuwa sikai sebuleni Kila muda sauti za risasi aisee😭
😃😃😃😃Dah!Mwanangu Vincenzo Jr unhgetumia mbinu za jamesbond kuwapokonya silaha
Au basi ata Jason Statham mzee wa wrath of a man
Pole sana japo nimecheka. Aisee haya mambo yaskie tu kwa wenzio au tutaone tu kwenye movie. Yakija live ndio utajua kuwa amani muhimu hata kama unakula ugali na chumvi. Wengine tumesalimika. Tuliathirika na huko kukosa mawasiliano na kusizi kwa shughuli muhimuWanangu huko mlipo mmenusurika dosho12 if cap fits Mr Q Angel Nylon Depal Carleen Lovelovie
Huku nilipo mwenzenu nilikuwa sikai sebuleni Kila muda sauti za risasi aisee😭
nipo salama namshukuru Mungu Vinnie, ila ukweli ni kwamba moyo wangu unavuja damu, nimekutana na hizo clip za maiti na majeraha ya risasi nyiiingi, nimeumia mno mno kwa yaliyotokea…Wanangu huko mlipo mmenusurika dosho12 if cap fits Mr Q Angel Nylon Depal Carleen Lovelovie
Huku nilipo mwenzenu nilikuwa sikai sebuleni Kila muda sauti za risasi aisee😭
Pole sana mwanangu hata mie nimeumia sananipo salama namshukuru Mungu Vinnie, ila ukweli ni kwamba moyo wangu unavuja damu, nimekutana na hizo clip za maiti na majeraha ya risasi nyiiingi, nimeumia mno mno kwa yaliyotokea…
unapigaje risasi watu wanaokimbia tena hawana hata silaha..!??
ni bora haya mambo yaishie kwenye movie ila kiukhalisia inaumiza sana kuua binadamu wenzako vile kama kuku wa kafara..!
Sebleni ulikuwa unafanyaje wenzako tulishinda uvunguniWanangu huko mlipo mmenusurika dosho12 if cap fits Mr Q Angel Nylon Depal Carleen Lovelovie
Huku nilipo mwenzenu nilikuwa sikai sebuleni Kila muda sauti za risasi aisee😭
😀😀😀 Aisee ni balaa sanaSebleni ulikuwa unafanyaje wenzako tulishinda uvunguni
Series ngumu hii mpaka naimaliza sijaielewa