Series (Special thread)

Series (Special thread)

Naangalia action za kwenye bellerina najiuliza kwamba bongo tutafika lini huko? Ni halali muvi zao zitengeneze mabilioni.

Jana nilikuwa naangalia thunderbolt najiuliza mainjinia wanaobuni mazingira ya muvi za mambele wanavichwa gani tofauti na mainjinia wetu huku bongo?
Sisi tunaweza mambo ya umbeya umbeya si unaona series ya kombolelaaaa vile tunaupiga mwingin
 
Screenshot (153).png
 
Moja kati ya drama iliyotoa mapato ya maana Netflix basi ni STRANGER THINGS licha ya kwamba ilianza kama mzaha hivi.

Ukifuatilia mapato wanayopata main characters (wale madogo), hapo ndio utagundua wenzetu wapo serious na maisha.
Ile series ni Kali sana nasubiria msimu mpya aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom