Movie gani labda umewahi kuipenda ukaona ni nzuri? Taja hata tatu tuHeads of State daah hawa jamaa movie zao bhanaaa
Movie ya kawaida
Au ni interest tunatofautiana
Umeniulizq mwaka huu ama ?..generally movie zangu ni hiziMovie gani labda umewahi kuipenda ukaona ni nzuri? Taja hata tatu tu
Carleen hii inamfaa sana 😎View attachment 3394066
Mrejesho Vincenzo Jr hii kitu ni nzuri ni aina ya series ambazo ina siri zimeficha alafu zinafichuliwa mdogo mdogo, ipo ep 04 sasa hivi alafu CM punk wa kwenye WWE katokea kwenye hii ep 04 , Carleen ongeza na hiyo kwenye list yako 😃😃
DAY OF THE JACKAL kuna ushoga kinoma ila series ni kali 9/10Nataka nishushe hizi Series nizicheki
Unamaoni gani kuhusu series za Waingereza
Sipendi series wanazo promote sana ushoga
I hope hizi hazina
View attachment 3393529View attachment 3393530
Ni episode moja tu ile anatafuta access ya kuingia kwenye theater, episode nyingine zipo kawaida tuDAY OF THE JACKAL kuna ushoga kinoma ila series ni kali 9/10
Mbona kwa kuangalia list yako inaonesha muvi ya Head of State ilitakiwa uipende piaUmeniulizq mwaka huu ama ?..generally movie zangu ni hizi
1.Extraction zote
2.movies za has fallen za Gerald buttler
3.Lone survivor
4.Jason bourne zote
5.Tears of the sun
SERIES KALI
1.GOT ipo rank moja na PRISON BREAK
2.SEAL TEAM Naipa rank moja na VIKINGS
3.TERMINAL LIST naipa rank moja na POWER
4.TREADSTONE
6.BLACKLIST
7.JACK RYAN SERIES
8.SPECIAL OPS
9.HOMELAND naipa rank na 24 hours
10.MOBLAND na DAY 0F THE JACKAL
Mi kuna muda huwa napenda kuangalia video za movie making zile ndefu kuanzia pre production mpaka post productio, wakizungumzia story development, set design, costume, characters, camera zilizotumika, aina za shots, location, vfx, sounds, unaona jinsi gani wenzetu wanavyojiandaa kwenye kila kitu, niliyoipenda ni making ya The joker ile joaquin phoenix na ya Dune part oneNaangalia action za kwenye bellerina najiuliza kwamba bongo tutafika lini huko? Ni halali muvi zao zitengeneze mabilioni.
Jana nilikuwa naangalia thunderbolt najiuliza mainjinia wanaobuni mazingira ya muvi za mambele wanavichwa gani tofauti na mainjinia wetu huku bongo?
Ile ballerina ni Kali sana nilimpenda yule bidada mno yaani pale anavyopiga watu visu mixer nyundo acheki na wowote aisee 😀Naangalia action za kwenye bellerina najiuliza kwamba bongo tutafika lini huko? Ni halali muvi zao zitengeneze mabilioni.
Jana nilikuwa naangalia thunderbolt najiuliza mainjinia wanaobuni mazingira ya muvi za mambele wanavichwa gani tofauti na mainjinia wetu huku bongo?
Kuna mtu hapo juu amesema hajaikubali
😀😀😀Kuna mtu hapo juu amesema hajaikubali
Nimemaliza kuangalia Ballerina.Ile ballerina ni Kali sana nilimpenda yule bidada mno yaani pale anavyopiga watu visu mixer nyundo acheki na wowote aisee 😀
Kibongo bongo bajeti zetu za laki tu
Yule Eva kaupiga mwingi hiki chuma kinafaaa unakicheki hadi na watoto ni nzuri sana aisee nilimpenda mno vile mabomu yalivyokuwa yanalipuka aiseeNimemealiza kuangalia Ballerina.
Ina action nyingi hadi raha 😅