sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Hii movie nilikuwa naangalia home with my kid,![]()
Aibu nliona Mimi, dah ilianza mambo ya ajabu ajabu watu wanafanya ngono zembe yaaan
Hii movie nilikuwa naangalia home with my kid,![]()
Hii movie najua vin lazima utaiangalia tu, kwa hyo cast iliyokuwepo😁😁![]()
Ingawa sijaiona ila nilitegemea hilo, maana hyo cast waliyowekaHii movie nilikuwa naangalia home with my kid,
Aibu nliona Mimi, dah ilianza mambo ya ajabu ajabu watu wanafanya ngono zembe yaaan
Kwa miaka hii hutakiwi kuchukua movie na kuweka sebuleni kuangalia na watoto au wazazi utapata aibuHii movie nilikuwa naangalia home with my kid,
Aibu nliona Mimi, dah ilianza mambo ya ajabu ajabu watu wanafanya ngono zembe yaaan
Ana de Armas, Vanessa Kirby, Sydney Sweeney![]()
Yaaan sikuifuatilia in details yaaanIngawa sijaiona ila nilitegemea hilo, maana hyo cast waliyoweka
Kuna kile ki sydney sweeney kime act kwenye EuphoriaYaaan sikuifuatilia in details yaaan
Dah huyu Ana de Armas demu wa tom crus ndio yeye alikuwa analiwa ovyo ovyo
😃😃😃Hii movie nilikuwa naangalia home with my kid,
Aibu nliona Mimi, dah ilianza mambo ya ajabu ajabu watu wanafanya ngono zembe yaaan
Huyo demu ndio michezo yake Toka akiwa kwenye movie inaitwa knock knock na nyingine inaitwa deep waterYaaan sikuifuatilia in details yaaan
Dah huyu Ana de Armas demu wa tom crus ndio yeye alikuwa analiwa ovyo ovyo
Fundi sana huyo kwenye euphoria kaliwa sanaKuna kile ki sydney sweeney kime act kwenye Euphoria
Exactly 💯 hata ikiwa ni animation mkuuKwa miaka hii hutakiwi kuchukua movie na kuweka sebuleni kuangalia na watoto au wazazi utapata aibu
DuhFundi sana huyo kwenye euphoria kaliwa sana
😃😃😃😃Hii movie najua vin lazima utaiangalia tu, kwa hyo cast iliyokuwepo😁😁
waache Idris Elba na John Cena wangu..!!😒Hii movie ya head of states promo nyingi Ila ya kawaida sanaa plus uongo mwingi
John cena kawa comedy tu siku hizi 😅 huko kwenye WWE kila siku anawakera watu 😁waache Idris Elba na John Cena wangu..!!😒
Hahahah wameitendea haki,waache Idris Elba na John Cena wangu..!!😒
John cena kawa comedy tu siku hizi 😅 huko kwenye WWE kila siku anawakera watu 😁
Ukishamuona tu John, ondoa seriousness kwenye hiyo movie..Hahahah wameitendea haki,
I thought itakuwa sirias movie kumbe vichekesho
Jana nimeshusha epsode 6, kati ya hizo nimeangalia 5 ila naweza kusema "hamna kitu mule".Naombeni mtoe mrejesho wa UNTAMED kabla sijaishusha