iNine9
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 5,008
- 9,408
Hawa mabwana wamezidi uwongo
Ndio maana muvi zao nyingi tunakuwa na mashaka nazo![]()


Ndicho hiko kinanishinda kutoka kwao hao jamaa uongo uliozidi.Hawa mabwana wamezidi uwongo
Ndio maana muvi zao nyingi tunakuwa na mashaka nazo![]()


Ndicho hiko kinanishinda kutoka kwao hao jamaa uongo uliozidi.Imeisha vuzuri.Leo ndiyo leo MobLand ep10![]()
Mimi ninayo full HD niliichukua Onstream last week.inaonekana wote humu, movie ya sinners mmeangalia version chafu. Ingekuwepo HD mngeweka link.
Ni series kaliiii halafu nzurii then ni bonge moja la seriesHuo mzigo wa mobland umetulia? Maana ninao ila sasa bado sijaanza kuilia rada
Nami nimeipatam nimetumia link aliyoweka vinchenzo humuMimi ninayo full HD niliichukua Onstream last week.
Imekuaje mkuuConrad ni mzee wa hovyo sana.
🔥🔥Leo ndiyo leo MobLand ep10![]()
Kumbe Eddie ni mtoto wake. Yaani alimla mke wa mtoto wake(Kev).I
Imekuaje mkuu
Boss kazi kazengua nini tena? 🤔
Wale character wake now wamekuwa watu wazima mno 😀STRANGER THINGS season 5 itagawanyika kwenye part 3
😀😀Mbona ipo fresh tu mastaHii SINNERS hype iliyopewa ni kubwa sana tofauti na uhalisia ukiachana na dialogues na language slang
Sijaona cha maana action ni kawaida sana na uongo mwingi, mtu kujikata mkono na damu kuruka kama maji ya kandoro yaliyotobolewa na toothpick that was too much!
But i liked how brothers smoke and stack cared for each other .
Anapenda sana neno cunt 😃Conrad ni mzee wa hovyo sana.