Miguel Alvarez
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 3,350
- 6,419
Kwa Utulivu wa hayo Macho inaonekana pia yupo Makini sana🤔Huyu demu kwenye REACHER EP4 mzuri sana 🤪🤪 episode 4 nimeiludia karibia mara 20 kwaajili yake
Kwa Utulivu wa hayo Macho inaonekana pia yupo Makini sana🤔Huyu demu kwenye REACHER EP4 mzuri sana 🤪🤪 episode 4 nimeiludia karibia mara 20 kwaajili yake
Umenifanya nikaangalie ni kweli japo wanasema hawajaicancel bali imeisha, walipanga seasons ziwe 3 tu, sasa mbona bado imeacha shauku ya kuendelea? Wengine wanasema ni personal interest kati ya makampuni mawili Netflix na Amazon kitu ambacho naona ndio jibu kuliko kusema imeisha, wamenikera sanavalhalla nasikia wamei cancel
Ila uzee jamani, nikimkumbuka Rose wa Titanic alivyokua kisuuuu leo kawa shangazi bibi, dah!Kama ulizipenda The Undoing na Presumed Innocent hii si ya kukosa!
View attachment 3351366
Dah yani mi sikumtambua kama ni Rose!Ila uzee jamani, nikimkumbuka Rose wa Titanic alivyokua kisuuuu leo kawa shangazi bibi, dah!
Wanakera mno, sasa hatutajua vita ya uongozi ilikuaje baada ya king Canute kufa, Harlad hajakutana na mwanayeUmenifanya nikaangalie ni kweli japo wanasema hawajaicancel bali imeisha, walipanga seasons ziwe 3 tu, sasa mbona bado imeacha shauku ya kuendelea? Wengine wanasema ni personal interest kati ya makampuni mawili Netflix na Amazon kitu ambacho naona ndio jibu kuliko kusema imeisha, wamenikera sana
Ila bado ni mzuri 😁😁Ila uzee jamani, nikimkumbuka Rose wa Titanic alivyokua kisuuuu leo kawa shangazi bibi, dah!
Valhala ukiangalia ilikua bado na story ila wameirush iishe wengine wanasema sababu ni views kidogoUmenifanya nikaangalie ni kweli japo wanasema hawajaicancel bali imeisha, walipanga seasons ziwe 3 tu, sasa mbona bado imeacha shauku ya kuendelea? Wengine wanasema ni personal interest kati ya makampuni mawili Netflix na Amazon kitu ambacho naona ndio jibu kuliko kusema imeisha, wamenikera sana
Hii Barry Bado,ila Fargo ni bala aisee jamaa ni serial killer mwenye confidence ya hali ya juu kabisa yani bonge la storyBarry
Fargo
Mkuu ngoja niidownload hii shukrani sanaKama ulizipenda The Undoing na Presumed Innocent hii si ya kukosa!
View attachment 3351366
Na barry nae ni serial killer ambae ni assassin pia mkuuHii Barry Bado,ila Fargo ni bala aisee jamaa ni serial killer mwenye confidence ya hali ya juu kabisa yani bonge la story
Sawa mkuu wacha ni ishushe hii shukraniNa barry nae ni serial killer pia mkuu
Umetisha mkuu 💪🏽![]()
10 Best Torrent Sites in 2026
Check out our guide to see which torrent sites have safe torrents, lots of content, and are easy to use. We also answer other torrent-related questions.www.safetydetectives.com
Wazee wa torrent
wanajitahidi hawa watu siku hizi, japo niliwahi kufanya nao kazi pahala nikawakinai balaa, nilitazama movie yao flani majuzi inafundisha mno pia, inaitwa CRAZXY, ukipata muda unaweza itafuta..!!View attachment 3351952
Kama unapenda movie za mystery itafute hii ni nzuri, inahusu jamaa mmoja anashukiwa kumuua mke wake, akiwa anawakimbia polisi akaingia kwenye nyumba moja na kulikuwa na msichana ndani, na huko kukatokea mauaji mengine ya mume wa yule msichana, wote wakapelekwa polisi ila kila mmoja akawa anatoa maelezo tofauti ya tukio lilivyo tokea, na connection ya mauaji yote mawili.
Haina ngumi wala nyimbo zao ni story tu, hata kama hupendi movie za kihindi jaribu kuangalia hii, imeandikwa na ku directiwa vizuri
nitaitafutawanajitahidi hawa watu siku hizi, japo niliwahi kufanya nao kazi pahala nikawakinai balaa, nilitazama movie yao flani majuzi inafundisha mno pia, inaitwa CRAZXY, ukipata muda unaweza itafuta..!!
Sijui kwanini tu nilishapoteza imani na wahindi kwenye movies zao japokua siku hizi naona ona wanatoa actions movies zinazosemwa kua ni kali ila kwangu moyo unakuaga mzito ku download au kustream movies zao. Najitahidi nianze kuwazingatia ila nashindwa several times.View attachment 3351952
Kama unapenda movie za mystery itafute hii ni nzuri, inahusu jamaa mmoja anashukiwa kumuua mke wake, akiwa anawakimbia polisi akaingia kwenye nyumba moja na kulikuwa na msichana ndani, na huko kukatokea mauaji mengine ya mume wa yule msichana, wote wakapelekwa polisi ila kila mmoja akawa anatoa maelezo tofauti ya tukio lilivyo tokea, na connection ya mauaji yote mawili.
Haina ngumi wala nyimbo zao ni story tu, hata kama hupendi movie za kihindi jaribu kuangalia hii, imeandikwa na ku directiwa vizuri
Hii haina ngumi zao za uongo hii ni pure story tu 😃😃Sijui kwanini tu nilishapoteza imani na wahindi kwenye movies zao japokua siku hizi naona ona wanatoa actions movies zinazosemwa kua ni kali ila kwangu moyo unakuaga mzito ku download au kustream movies zao. Najitahidi nianze kuwazingatia ila nashindwa several times.
Hawa mabwana wamezidi uwongoSijui kwanini tu nilishapoteza imani na wahindi kwenye movies zao japokua siku hizi naona ona wanatoa actions movies zinazosemwa kua ni kali ila kwangu moyo unakuaga mzito ku download au kustream movies zao. Najitahidi nianze kuwazingatia ila nashindwa several times.