Series (Special thread)

Series (Special thread)

Kama ulizipenda The Undoing na Presumed Innocent hii si ya kukosa!
IMG_3155.jpeg
 
valhalla nasikia wamei cancel
Umenifanya nikaangalie ni kweli japo wanasema hawajaicancel bali imeisha, walipanga seasons ziwe 3 tu, sasa mbona bado imeacha shauku ya kuendelea? Wengine wanasema ni personal interest kati ya makampuni mawili Netflix na Amazon kitu ambacho naona ndio jibu kuliko kusema imeisha, wamenikera sana
 
Umenifanya nikaangalie ni kweli japo wanasema hawajaicancel bali imeisha, walipanga seasons ziwe 3 tu, sasa mbona bado imeacha shauku ya kuendelea? Wengine wanasema ni personal interest kati ya makampuni mawili Netflix na Amazon kitu ambacho naona ndio jibu kuliko kusema imeisha, wamenikera sana
Wanakera mno, sasa hatutajua vita ya uongozi ilikuaje baada ya king Canute kufa, Harlad hajakutana na mwanaye
 
Umenifanya nikaangalie ni kweli japo wanasema hawajaicancel bali imeisha, walipanga seasons ziwe 3 tu, sasa mbona bado imeacha shauku ya kuendelea? Wengine wanasema ni personal interest kati ya makampuni mawili Netflix na Amazon kitu ambacho naona ndio jibu kuliko kusema imeisha, wamenikera sana
Valhala ukiangalia ilikua bado na story ila wameirush iishe wengine wanasema sababu ni views kidogo
 
713bcafa4614166397cb7f043fccebab.jpg

Kama unapenda movie za mystery itafute hii ni nzuri, inahusu jamaa mmoja anashukiwa kumuua mke wake, akiwa anawakimbia polisi akaingia kwenye nyumba moja na kulikuwa na msichana ndani, na huko kukatokea mauaji mengine ya mume wa yule msichana, wote wakapelekwa polisi ila kila mmoja akawa anatoa maelezo tofauti ya tukio lilivyo tokea, na connection ya mauaji yote mawili.

‎Haina ngumi wala nyimbo zao ni story tu, hata kama hupendi movie za kihindi jaribu kuangalia hii, imeandikwa na ku directiwa vizuri
 
View attachment 3351952
Kama unapenda movie za mystery itafute hii ni nzuri, inahusu jamaa mmoja anashukiwa kumuua mke wake, akiwa anawakimbia polisi akaingia kwenye nyumba moja na kulikuwa na msichana ndani, na huko kukatokea mauaji mengine ya mume wa yule msichana, wote wakapelekwa polisi ila kila mmoja akawa anatoa maelezo tofauti ya tukio lilivyo tokea, na connection ya mauaji yote mawili.

‎Haina ngumi wala nyimbo zao ni story tu, hata kama hupendi movie za kihindi jaribu kuangalia hii, imeandikwa na ku directiwa vizuri
wanajitahidi hawa watu siku hizi, japo niliwahi kufanya nao kazi pahala nikawakinai balaa, nilitazama movie yao flani majuzi inafundisha mno pia, inaitwa CRAZXY, ukipata muda unaweza itafuta..!!
 
View attachment 3351952
Kama unapenda movie za mystery itafute hii ni nzuri, inahusu jamaa mmoja anashukiwa kumuua mke wake, akiwa anawakimbia polisi akaingia kwenye nyumba moja na kulikuwa na msichana ndani, na huko kukatokea mauaji mengine ya mume wa yule msichana, wote wakapelekwa polisi ila kila mmoja akawa anatoa maelezo tofauti ya tukio lilivyo tokea, na connection ya mauaji yote mawili.

‎Haina ngumi wala nyimbo zao ni story tu, hata kama hupendi movie za kihindi jaribu kuangalia hii, imeandikwa na ku directiwa vizuri
Sijui kwanini tu nilishapoteza imani na wahindi kwenye movies zao japokua siku hizi naona ona wanatoa actions movies zinazosemwa kua ni kali ila kwangu moyo unakuaga mzito ku download au kustream movies zao. Najitahidi nianze kuwazingatia ila nashindwa several times.
 
Sijui kwanini tu nilishapoteza imani na wahindi kwenye movies zao japokua siku hizi naona ona wanatoa actions movies zinazosemwa kua ni kali ila kwangu moyo unakuaga mzito ku download au kustream movies zao. Najitahidi nianze kuwazingatia ila nashindwa several times.
Hii haina ngumi zao za uongo hii ni pure story tu 😃😃
 
Sijui kwanini tu nilishapoteza imani na wahindi kwenye movies zao japokua siku hizi naona ona wanatoa actions movies zinazosemwa kua ni kali ila kwangu moyo unakuaga mzito ku download au kustream movies zao. Najitahidi nianze kuwazingatia ila nashindwa several times.
Hawa mabwana wamezidi uwongo

Ndio maana muvi zao nyingi tunakuwa na mashaka nazo 😃😃
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom