Series (Special thread)

Series (Special thread)

Hii SINNERS hype iliyopewa ni kubwa sana tofauti na uhalisia ukiachana na dialogues na language slang
Sijaona cha maana action ni kawaida sana na uongo mwingi, mtu kujikata mkono na damu kuruka kama maji ya kandoro yaliyotobolewa na toothpick that was too much!

But i liked how brothers smoke and stack cared for each other .
kweli mimi niliangalia kidogo nikaona uhuni ni mwingi unazidi hadi stori yenyewe nikaacha
 
Nimejaribu jana kuiangalia ikanishinda nikaipiga chini, japo nimeiweka kwenye whitelist labda kuna siku nikichanganyikiwa na mambo yangu ntaizingatia..
Sehemu ya pili ndio mtajua wale mapacha walitokea wapi maana hii ya sasa tumepewa story ya Sammi au dosho12 unasemaje kaka 😂 😃 na tutapewa story ya wale vampaya walitokea wapi
 
Wakuu hii The Night Agent nilichelewa kuijua aisee salute, nampenda Rose hajazubaa akiona Peter anazidiwa anakuja na kirungu kumaliza kazi

Sio mpenzi sana wa movies/series za action na hasa upelelezi ila hii nimeipenda
Sema Peter alizingua sana yule demu kamtreat vibaya pale mwishoni japokua ki usalama kweli ilikua hatari kwa Rose but Peter namna flani hivi niliona alimnyanyasa kihisia na Rose alionekana kabisa kua anamuhitaji Peter kwa wakati huo kifupi Rose alkua anampenda mwamba..
 
hii sinners nilipoteza masaa mawili kumbe ni ya mazombi upumbavu tu

well... Kama wewe ni mpenzi wa secret societies na mambo yao itakufaa. Kwa macho ya mtu wa kawaida utaiona ni muvi ya kawaida ila kama unazijua alama za illuminates humo zimejaa.

na ndio mana muvi imepasua anga kwa sabbu imebeba ajenda zao.

kuna songi la mazombi limepigwa nnauhakika huko kwenye matempo yao ndio nyimbo zao sema hapa wanatumegea kidogo tu.

kuna songi lingine lilikuwa linakolezwa na Dada kavaa viatu vyenye visigino virefu, ukiangalia style ya uchezaji unaona kabisa hawa ni skull&bone society

ni maoni yangu
 
hii sinners nilipoteza masaa mawili kumbe ni ya mazombi upumbavu tu

well... Kama wewe ni mpenzi wa secret societies na mambo yao itakufaa. Kwa macho ya mtu wa kawaida utaiona ni muvi ya kawaida ila kama unazijua alama za illuminates humo zimejaa.

na ndio mana muvi imepasua anga kwa sabbu imebeba ajenda zao.

kuna songi la mazombi limepigwa nnauhakika huko kwenye matempo yao ndio nyimbo zao sema hapa wanatumegea kidogo tu.

kuna songi lingine lilikuwa linakolezwa na Dada kavaa viatu vyenye visigino virefu, ukiangalia style ya uchezaji unaona kabisa hawa ni skull&bone society

ni maoni yangu
😃😃😃Kuna yule mwamba alimkaribisha yule mwamba ndani kwake walikuja watu wema kumpanga amtoe yule jamaa mwamba akawa mbishi kilichofuata ni majanga tu 😃😃
 
😃😃😃Kuna yule mwamba alimkaribisha yule mwamba ndani kwake walikuja watu wema kumpanga amtoe yule jamaa mwamba akawa mbishi kilichofuata ni majanga tu 😃😃
Kwakweli kwangu mimi muvi za mazombi au vampires sizipendi. Muvi nnayo ikubali ni moja tu inaiwa
train to busan

sijawahi ona muvi ya mazombi nzuri kama ile. Niliekua naangalia nae nilistukia tu anafuta machozi. Nikagonga mhuri kabisa kwamba sidhani kama kuna muvi nyingine nzuri kama hii
 
Kwakweli kwangu mimi muvi za mazombi au vampires sizipendi. Muvi nnayo ikubali ni moja tu inaiwa
train to busan

sijawahi ona muvi ya mazombi nzuri kama ile. Niliekua naangalia nae nilistukia tu anafuta machozi. Nikagonga mhuri kabisa kwamba sidhani kama kuna muvi nyingine nzuri kama hii
Pale wakorea walitengeneza movie Bora sana
 
June hii Kuna vayolensi😎
20250523_112913.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom