Series (Special thread)

Series (Special thread)

Wanaisifia huko mitandaoni
 

Attachments

  • 20250501_133956.jpg
    20250501_133956.jpg
    30.3 KB · Views: 13
Mchongo upoteze mvuto kwa nan sasa😀
Mbona nimeshasema PLOT TWIST ZA KIBOYA ndio sababu au haukusoma maandishi yote niliyoandika?
Poa, ngoja nikuambie kwanini ninaona mchongo umepoteza mvuto.

Lakini zingatia huu ni mtazamo wangu binafsi chief, kwangu mimi season 2 ya huu mchongo imekuja kuvuruga motion nzima ya series:

1. Sean kutoka kuwa muhuni katili hadi kuwa pussy ni plot twist ya kiboya, bora wasingemrudisha kwenye season 2, baada ya kupigwa ile shaba ingebakia tu kuwa mwamba amedanja.
2. Yule Bi Mkubwa wake Sean kuungana na maadui kuangamiza familia yake kwangu mimi ni plot twist ya kiboya, hivi alikuwa anapigania nini kiasi kwamba alikuwa yupo tayari kupoteza vijana wake wawili wa kiume?
3. Asif na Lale kuungana ni plot twist ya kulazimisha, haimake sense, kama umefuatilia vyema season 1 basi utakuwa unajua kuwa uadui wa hao watu wawili upoje.
Ningeendelea, ila nitakuchosha tu.

Pia mkongwe, sisi watu wengine tukicheki series huwa tunafuatilia mtiririko wa matukio yote, huwa sipeleki mbele ili kuangalia scene ambayo shaba zinapigwa au mikono inachapwa, huwa nacheki mchongo kutoka sekunde ya kwanza mpaka ya mwisho, hivyo ikitokea nimekutana na plot twist isiyokuwa na mashiko ndani yake mzuka huwa unakata, haijalishi series ina action kiasi gani.
 
Mbona nimeshasema PLOT TWIST ZA KIBOYA ndio sababu au haukusoma maandishi yote niliyoandika?
Poa, ngoja nikuambie kwanini ninaona mchongo umepoteza mvuto.

Lakini zingatia huu ni mtazamo wangu binafsi chief, kwangu mimi season 2 ya huu mchongo imekuja kuvuruga motion nzima ya series:

1. Sean kutoka kuwa muhuni katili hadi kuwa pussy ni plot twist ya kiboya, bora wasingemrudisha kwenye season 2, baada ya kupigwa ile shaba ingebakia tu kuwa mwamba amedanja.
2. Yule Bi Mkubwa wake Sean kuungana na maadui kuangamiza familia yake kwangu mimi ni plot twist ya kiboya, hivi alikuwa anapigania nini kiasi kwamba alikuwa yupo tayari kupoteza vijana wake wawili wa kiume?
3. Asif na Lale kuungana ni plot twist ya kulazimisha, haimake sense, kama umefuatilia vyema season 1 basi utakuwa unajua kuwa uadui wa hao watu wawili upoje.
Ningeendelea, ila nitakuchosha tu.

Pia mkongwe, sisi watu wengine tukicheki series huwa tunafuatilia mtiririko wa matukio yote, huwa sipeleki mbele ili kuangalia scene ambayo shaba zinapigwa au mikono inachapwa, huwa nacheki mchongo kutoka sekunde ya kwanza mpaka ya mwisho, hivyo ikitokea nimekutana na plot twist isiyokuwa na mashiko ndani yake mzuka huwa unakata, haijalishi series ina action kiasi gani.
Kijana unajua kuchambua vizuri naomba unipe series Kali ya kuicheki
 
Inamaana hata plot yake hukusoma kama uliipenda VIKING nenda kaangalia VIKING:VALHALA story yake ni miaka 100 baada ya ragnar kufa
Sikusoma chochote, mimi niliishusha kama ilivyo 😀
Viking Valhala nisiifatilie tena, hapa nina mpango wa kuzirudia zote kuanzia Viking (ambayo nishairudia kama mara 6 hivi na bado sijaichoka)
 
Mimi sipendi animation nitajie serious series
You are missing out Brother.
Ulimwengu wa anime/animated series una plot na story zinazofikirisha na kuburudisha ajabu.
Kama unaweza kutazama TV series kama Game of Thrones kwanini ushindwe kutazama anime/animated series?
Hata mimi kitambo sana niliwahi kuwa na mindset inayoniambia kuwa anime/animated series sio vitu serious, ila nikajiuliza kama naweza kusoma fiction books na kuangalia fantasy movies/series kwanini nishindwe kuangalia anime/animated series. Nilianzaga na Avatar: The last Airbender, eeeh bwana eeeh baada ya hapo...

Nisikuchoshe, kula kigongo hiki 👇👇👇👇

The Haunting of Hill House
images (18).jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom