Series (Special thread)

Series (Special thread)

Mzee wa kunyonya paka anarudi mwakani
20241220_002815.jpg
 
Series Za C.I.A

  • Alias
  • Hanna
  • The Recruit
  • Jack Ryan
  • The Enemy Within
  • Berlin Station
  • The Looming Tower
  • The Old Man
  • Homeland
  • Allegiance
  • Wormwood
  • Whiskey Cavalier
  • Snowfall
  • The Company You Keep
  • Messiah
  • Special Ops:Lioness
  • Quantico
  • Fubar
 
Series Za C.I.A


  • Covert Affairs
  • Burn Notice
  • Treason
  • Madam Secretary
  • Blindspot
  • Deep State
  • CHAOS
  • The Assets
  • The Agency
  • The Company
  • Instinct
  • The Americans
  • 24
  • Person of Interest
  • Taken
  • The Spy
  • Counterpart
  • Hunted
  • Treadstone
 
The penguin
The diplomat
A man in full
Paris has fallen
The night manager
Bodyguard
Eric
Fallout
Traitor
Patriot
Fubar

Hizo mkuu hapo niongeza ni
The Americans na Tulsa kings
Nimeanza na Paris Has Fallen. Story na pacing yake iko poa ila daah, Vincent hawezi kujaribu bahati yake kwa Zara kwa sababu Zara mwenyewe ana demu 😀 😀
 
kweli aisee mi nimemind sana Jackal kutokamatwa, mbaya zaidi katuulia kipenzi chetu Bianca, mpaka watu wanabishana hajafa
Wewe unamchukia Jackal lakin kuna wengine wanamuelewa sana na kwa namna anavoonekena Na innocent face basi.

Yaani jamaa hana roho mbaya kivile sema majukumu ya kazi yake ndo yanamfanya aonekane vilr na pia anahuruma sana.
 
Wewe unamchukia Jackal lakin kuna wengine wanamuelewa sana na kwa namna anavoonekena Na innocent face basi.

Yaani jamaa hana roho mbaya kivile sema majukumu ya kazi yake ndo yanamfanya aonekane vilr na pia anahuruma sana
Jamaa ana roho nzuri kweli ila kazi yake na hitaji la kuwa salama yeye na fmilia yake ndivyo vinamlazimishaga kuua watu.
Hata kile kikosi chake alilzaimika kuwapiga bomu maana walizingua sana kuua wale watu waliokuwa wakisherekea zao na hawakuwa na hatia. Jamaa akaona kabisa hawa watu ni waovu hawafai na watamletea usiku kwenye mambo yake baadae.
 
Jamaa ana roho nzuri kweli ila kazi yake na hitaji la kuwa salama yeye na fmilia yake ndivyo vinamlazimishaga kuua watu.
Hata kile kikosi chake alilzaimika kuwapiga bomu maana walizingua sana kuua wale watu waliokuwa wakisherekea zao na hawakuwa na hatia. Jamaa akaona kabisa hawa watu ni waovu hawafai na watamletea usiku kwenye mambo yake baadae.
Sure na kwa sehemu kubwa ule uharibifu wake ulianzia pale aliumizwa mno na wale watu kufa kifo kisicho na hatia.

Maana kuna yule jamaa alimwambia mbona unaonekana a very good man lakin unafanya haya. Akaishia kukumbuka ile scene.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom