Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,569
Diamond anakaribia kujiunga na vinega baada ya kugundua zomea ya jana ilipangwa na clouds baada ya kuwagomea fiesta za mikoani.
Clouds hawawezi kufanya ujinga huo!
Diamond anatakiwa kuwa makini kipindi hiki maana anaweza gombana na watu bila sababu!