Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

Ukitaka kuuliza huyo Diamond kawafanya nini watakuambia ni dharau? Je hizo dharau alimfanyia nani na lini? Au kupata mafanikio kidogo ndio dharau? Pengine ndio maana wasanii wetu hawafanikiwi kwa sababu ya viwivu vya kijinga kama hivi.

Dharau za kutungatunga tu wabongo fitna nyingi sana
 
kosa la diamond ni kuwa na dharau kwa wasanii wenzake,kubwa zaidi ni kusema kama ally kiba anahitaji msaada wake yupo tayari kumsaidia,wakati for the time nyimbo za kiba zipo juu zaidi ya za diamond,na kiba hana makuu,kakaa kimya,anaacha kazi ziongee,nlikua shabiki wa diamond ila sasa nipo kwa kiba.dogo anaweza,hana makuu wala skendo.ni kazi tuu.diamond anamsema vibaya sana huyu bwana mdogo mwenye kipaji cha hali ya juu.huo ndo mshahara wake,asipojirekebisha atazomewa saaaanaaa

Hizo sababu zenu za kutunga hizo haha..Dimond alidharau lini au mkate mdogo anaoupata unawaumiza sana
 
jamani mwacheni Daimond afanye yake na kiba afanye yake.mbona mnataka mmoja wapo ashuke.mie am happy kuona Daimond na kiba wote wapo juu.ntasikitika mmoja wapo akishuka.

Nashangaa wote wetu TZ kwa nini tunabaguana mbele ya wale wageni ambao hata sijaona kilichowaleta zaidi ya Kelele tu
 
Mafanikio yake lazima yamsogeze mbali na wale wa kipato cha chini kwa sababu hana tena kipato cha chini. Huwezi ukafanikiwa halafu just because kuna watu wapo chini ukayakataa mafanikio yako. Besides kuwa msanii ni package kubwa. Inabidi uwe kweli msanii. Sio kipaji, but everything bout you has to become your business. Sababu ya wengi hapo mwanzo kutokufanikiwa ni woga wa kubadilika. Wewe ni international musician, so itabidi uwe tu international. Hamna haja ya kuwataja ambao walifikiri kuwa chini ndo utapendwa na watu. Ona sasa wanaitwa wamefulia na wengi wamesahaulika. Watu hawataridhika kamwe. Kama umeamua kuwa mwanamziki kwa ajili ya kitaa chako sawa. Kama you are doing it to get yourself internationally, you gotta do what it takes.

Ajiulize inspector haroun na Juma nature wapo wapi??!
 
Yaani kiba amsaidie Dimond hahah....wakati hata hili shangwe analolipata ni kwaajili ana bifu na Diamond huyo alikiba wenu angekuwa na Bifu na Barnaba au Bob juniour angesahau hata kupata shoo[/QUOT


Kiba yupu vizuri kuliko Diamond kimziki. ila kinacho muweka juu Diamond ni kutumia ipasavyo fulsa anazo zipata. lakini kama wewe ni msikilizaji wa mziki mzuri utagundua CHIBU ukimuweka hata na BEN POL basi Ben pol utajua anafanya mziki mzuri.

uzuri wa kiba ninacho mpendea ni SAUTI yake. mimi huwa namini Kiba kwa sauti yake ni marighafi tosha kwake...
CHIBU huyu jamaa yeye anajua jinsi ya kumiliki jikwaa. yani ukiangalia unasikia raha..

KIUHALISIA kimziki Kiba yupo vizuri. Mimi napenda kitu anacho fanya Diamond kwa sasa
 
mhhhh huyu Lord Eyes ni shida aisee ok Weusi naona sasa wanafanya yao hawa ndio wanajua nini maana ya hip hop aisee hapa kumechafuka zile timu zen wekeni pembeni ngoma inayopigwa hapa ni Wawio aliyesuka hii bit naomba kumjua,huyu G nako anasauti flan hivi

Marco chali mj records
 
Mmmhhh katia huruma haswaa!!!
watu wangu wa kinondoniii mpoo ?watu kimyaaaaa!!! kiba kiba teh dogo kaaibika mbaya!!
Bora hajampandisha wema wake angeaibika zaid!!!!
 
kwan kulikua na ulazma wa kumshanglia huyo dai pekee..me mwnyw ningekuepo fiestan ningemzoea afu sna sababu ya mcng zaid ya kua smpend tuuu...yan smpnd tuu
 
hivi kuna msanii alikua juu km nature,inspector?
msidharau mashabiki wala
walimuweka juu
nature alijaza diaomond jubilee peke yake anazindua albamu enzi hizo
jiulize mziki wa diamond unasikilizwa sana wapi?kwa watoto wa kiswazi
mtoto wa kishua ye mda wote na kina beyonce na wiz khalifa
msimlaumu kiba hana makosa hata kidogo mlaumuni diamond wenu kwa kujifanya ye sio wa kule kwetu mbagala,manzese,vingunguti na uswahilini kote
wabongo hawapendi shobo
waulizeni EAST COAST TEAM watawaambia
bongo fleva ya kwetu uswahilini jamani
 
Mmmhhh katia huruma haswaa!!!
watu wangu wa kinondoniii mpoo ?watu kimyaaaaa!!! kiba kiba teh dogo kaaibika mbaya!!

Lakini tukumbuke kwamba Diamond uwa habwetek, hakatishwi tamaa na always hupenda wa prove watu wrong.
Unakumbuka alivyotoa KULEWA'
alipondwa sana kuwa kaiba ngoma. Nikajua atapotea kwenye game.

In a week akaja na KESHO.

Watu kimya.

Alipota NUMBER ONE -yakaibuka yaleyale kaiba.
Akawatuliza na mdogomdogo.

Tusubiri NEXT MOVE.
 
Tuache ushabiki maandazi, wanao mtakia mema diamond wamshauri aache dharau ama sivyo atazomewa sana aiseee!
 
Eeh wivu wa diamond awr na kiba iweje

Eeh kiba kamwe hatamfukia akivyo paa diamobd na,kupeperusha bendera yetu. He had is time kujarivu hayo na imeshasepa.

Kuimba sio kyimba tu na akiki ya business lazima iwrpi

Ok sema maneni gani alisema diamond? Interview? Weka link tusikulize

Daaa mbona uandishi mbovu sana hivi ngumu kueleweka banaa
 
Back
Top Bottom