Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

Namsubiri Diamond na ali kiba tu leo,Vanesa nae si haba na closer yake
 
Mwenye namba za mcheza show wa vannesa.. Yule aliyekuwa kushoto kwa vannesa ani PM plz
 
Watu wanaacha kuimba wanarushana masarakasi.... Show zetu bure kabisa..

Hahahaaaaa,hivi umewahi kuona show ya T.I.D???utachoka...alafu yeye anajisifu eti ni nilipiga sarakasi nyingi sana...
 
Ili tuondoe utata huu kwa vile leo wanakutana steji moja mliopo humo na wale wanaoangalia Live clouds Tv tuangalie nani atamfunika mwenzake...

1.atakayepata shangwe nyingi
2. atakayeperfom vizuri
3. atakayefunika kwa mavazi
4. Mengineyo
 
Nilijua tu utalivalia njuga hili suala,huyo ndomo lazima akae leo
 
Back
Top Bottom