tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,484
Kinachomuumiza Diamond ni mafanikio yake Watanzania tunawivu wakike sana. Alikiba anaimba nini na kisauti chake kile Diamind is the best artist in Tz ndio maana kaitangaza Tanzania kimataifa. Watanzania tuache wivu mfyuuuuuuu.
Diamond ni msanii mwenye kipaji thabiti anastahili Sifa kwa hilo .
Tatizo lake amejisahau kuwa umaarufu alionao ndani na nje ya nchi unatokana na watanzania tena wengne wa kipato cha chini.
Style yake ya maisha imebadilika sana tangu amepata umaarufu
Anasa za wanawake anaowabadilisha kila siku na kujiita majina (km sukari ya warembo). Juzi tu amehonga gari ya kifahari kwa kimada wake.
Amefikia hata kuwadharau wale aliowakuta ktk mziki wengine walisaidia kumtoa, Bob Juniour, Ally Kiba. Kwa ufupi ni aina ya watu wasio na shukrani.
Tangu ameupata umaarufu na fedha akasahau kuwa pesa hiyo nying imetoka kwa watanzania wa maisha ya kawaida, Maneno ya kejeli yanaanza mara "sifanyi shoo ya Mil 2"
Mara kupanda ma private jet, kujipa vyeo ving, kuendekeza bifu nk.
HE HAS OUTSTANDING TALENT YES, BUY HE HAS 2B A BIT HUMBLE.
Kwanza anaonekana anadharau watanzania wote maskini.
Wacha wamzomee
Appoh sina ushabiki katika hili maana wote wawili nawapenda...
Ila hiyo point number one lem make some correction sio Diamond alisema hivyo hao walikua ni matapeli wa mitandaoni wakaja na gia ya Diamond na Kiba... like Diamond kasema hivi kumdis Kiba na Kiba kajibu hivi wao wakiamini ni namna ya kutangaza hiyo Saccos ya mikopo...
So wakati uchochezi unaendelea basi tuongee vitu ambavyo ni real......
Siwezi kuwa na wivu kwa mtu yeyote, kila mtu amezaliwa na destiny yake. Kitendo cha kuanza kuwaza kuwa mtu anaonewa wivu ni udhaifu mkubwa sana.Unajua hela ndefu wewe? Juzi Nimelamba contract ya mil 900 kwenye kampuni yangu nije nimuonee wivu mtu asiyejua kuandika jina lake vizuri?Acha ujinga
that's true ILA mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe,tungekuwa na umoja WA kuzomea wanasiasa mafisadi wanaokula pesa zetu nafikiri tungefanya mambo la maana
Kwa kweli leo ni aibu tupu
hivi kweli hakuna watu behind haya ya leo kwa diamond maana, hata music wake na davido ilibidi warudie maana imekuwa mbaya na mgeni Davido ameona kituko leo
Diamond usiwe na wasi you are the number one
kwa kweli lazima clouds watuambie wamepanga nini leo na mic kama vile walikuwa wanazima watu wasisikike wakirudia
shame shame watanzania kuonea wivu wanaofanya bidii kuendelea
ila labda kiba alileta watu na mabasi wamzomee hii sio kawaida kabisa, as amekosea nini wananchi hadi azomewe na ndie anayepeperusha nchi yetu now na kidaidi ya wote huko nje. imagine mbele ya TI na Davido.
Sasa inatakiwa Diamond aachane na hizi level za fiesta wamekudharirisha leo clouds fm na wapambe wao. as wamempa promo kiba makusudi na ma king or what ili wamdharirishe Diamond shame on them
******
UPDATE:
WAMEMTENDA DIAMOND NA KUMZIMIA MIC, NOW MCHEZO UMENOGA T.I KAWASHUSHUA LIVE KUWA WA FIX SOUND
KATOKA STEJINI, JAMANI MUNGU ANAJUA KUJIBU WATU WABAYA. KASEMA ANARUDI IN 30 SECONDS NOW NI MADAKIKA MENGI OYEEEEEE MUNGU WA DIAMOND HALALI
EEH NA WA TIMES FM
OYEEE TO DIAMOND WETU
sasa niliwai kumsikia mwenyewe na masikio yangu redion akimwambia qchief kua kashapotea hawezi kushinfana na yeye kimziki kihela na kwa kila kitu kwa sasa yeye kashafulia
achilia mbali masela wake wa kko waliohastle nae kabla hajatoka maana mpaka leo wanamchukia jamaa kawapotezea wana wanabembeleza kolabo anawapotezea ndio maana wamejoin team kiba
Unakataza watu wasimchukie chibu wakati wewe unaongoza kwa chuki kwa ally kiba .toa kibanzi kwanza kwakohaha akienda club ndo wa kwanza kucheza mdogomdogo
Kwani wewe hawala yake daimond ee?Eeh wivu wa diamond awr na kiba iweje
Eeh kiba kamwe hatamfukia akivyo paa diamobd na,kupeperusha bendera yetu. He had is time kujarivu hayo na imeshasepa.
Kuimba sio kyimba tu na akiki ya business lazima iwrpi
Ok sema maneni gani alisema diamond? Interview? Weka link tusikulize
Mkuu, wamelipwa TZS ngapi kila mzomeaji...!
nilikosana na mshikaji wangu siku aliponiambia ni shabiki wa Diamond, juzi karudi kuomba msamaha.
Mhmh uthibitisho wowote tafadhali:-!
tatizo ni dharau na kujiona yupo juu ya tanzania mbona mwanzoni walikua wanambeba juu juu imekuaje jana itakua ametukana wakubwa waliotangulia