Serengeti fiesta 2014 special thread


Bila kuuliza wala kukuonana...wewe pia ni mmoja wahao mashabiki wa Msanii huyu namba moja.
Teh teh teh unafikiria maisha????
 

alisema Mbeya hakuna hotel ya hadhi yake wakati ye kakulia Tandale
 
atakae kupandisha ndie atakaekushusha - lord eyes

leval ya diamond kwa sasa ni ngumu kumshusha chini kwa fitna zile zile zilizowashusha wasanii wengine, leo diamond si local musician tena!
 

Hahaaaaaaa umenichekesha eti bad boys make some noise midume oyooooooo
 

Hoja zako ni dhaifu mno..

DIAMOND ni brand inayojitambua hivyo basi usitegemee akaishi maisha kama alivyokuwaga mbagala

We unataka atoze show laki mbili kama kina Young killer leo na kesho akifulia kama kina inspector haroun nani atamsaidia??

unataka asipande ndege ulitaka apande bajaji au Bodaboda??!

Cha ajabu ukiskia kina Davido wanapanda ndege.unaona kawaida lakini Mtanzania mwenzetu akipanda ndege eti unaona anapenda sifa!!'

hebu kemea hilo Pepo la umaskini lililoteka fikra zako
 

Shikamoo Mpwa...

Mie nililala sa hivi asubuhi ndio nasoma updates za wadau...
 
Yani hadi humu jf watu wanakojielewa elewa nao kizezeta kabisa wako kwenye huu ushabiki wa Diamond na Kiba, bila kutafakari nani kaanzisha hili na faida yake nini mnafanya hadi wasanii wajione wako kilomita nyingi sana mbele kuliko Q Chila, TID, Rama D, Barnaba, Amini, Ben Pol n.k lakini kumbe wote wako ligi moja maskini ya Mungu ila hawajui wanatumika kibiashara halafu watabwagwa
 
nilikosana na mshikaji wangu siku aliponiambia ni shabiki wa Diamond, juzi karudi kuomba msamaha.
 
Dharau gani ndugu mbona mnakuwa na roho za kwanini

dharau ya kwanza
1.mziki umekushinda umefulia mpaka umeenda kukopa vikoba umalizie nyumba yako

2.aje nimsaidie kolabo

3. Malizia..
 

very nice comments
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…