Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

Mi hizi tim hizi sizitaki,, nasubiri wimbo mzuri tu ndo nausikiliza,, mtu akichemsha akasikilize mwenyewe kwake
 
humu ndani nasikia kuna uhuni...kweli diamond kapanic....hakuna shangwe kabisa inavyoonekana watu wamemuchoka

Watu wakiamua kukupandisha utapanda tu. Na wakiamua ushuke wanakushusha vile vile. Kupanic kwakwe najua anaenda kutunga nyimbo za madongo na ndio atajimaliza kabisa.
 
sielewi kinachoendelea hapa jamani hadi kwa Davido mambo ni Kimya aisee hata Dam Durro huku kwetu hatuijui clouds wangemuacha tu Davido,nilisema shoo itaishia kwa Ally Kiba ni kama ilipangwa hivi ok na hii ishu ya Davido na mahakama naona ndio imewamaliza hawa akina Davido wabongo hatupendi hayo ila T.I nina uhakika ataamsha
 
Back
Top Bottom