Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 62,139
- 156,551
Nakuja Mwakaniiiii😊😊😊😊!!Tuwekeee.....!
Gina Saafi sanaa.
Antonnia daslama unakuja lini???
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuja Mwakaniiiii😊😊😊😊!!Tuwekeee.....!
Gina Saafi sanaa.
Antonnia daslama unakuja lini???
Sent using Jamii Forums mobile app
One time Nakuja na kiporo changu cha wali ndondoo hapooo😋!!🎵🎵Bora ungekuwa mkanda wa DVD
Nyuma ningerudisha
Ulinifanya siambiliki sisikii
Yani ukaniviringisha
Nimeamini mpenz kunanamna
Yameungana na nyama
Hisia zanipeleka siwezi
Kumbumbuku zagandamana
Najifosi nisikate tamaa ya kupenda
Japo inaniuma kinachomiuma muda muda
Nilopoteza wee habari huna
Yaka yakanizidi nilipozama gwii gwii💔
Limenyauka warid kwankumwagiwa asidi
Jamani mapenz yanauma ah 🎵🎵
@Antonnia mje mlie hapa 😂😂nyimboyenu hii 😂😂😂
Mambo ni yente
Hiko kiporo acha tu ni special sanaOne time Nakuja na kiporo changu cha wali ndondoo hapooo😋!!
Hiko kiporo acha tu ni special sana
Oya rudi mjini hizi vitu vitakuua🤣
Ndo maana tuna vitambi😂😂Acha kabisa...Ninyime vyote ila sio wali ndondo!!
Mi Pamoja na kunywa maji ya moto... mara yenye limao bilabilaaa...ni hakutokii ng'oooo!😊Ndo maana tuna vitambi😂😂
Ndiyooooh
ila wee Tinny bhana.Mimi siko hivyo
sitak kujidanganya ngoja niirudishe
Sinaa shougaaangu natiajee hurumaa 😊!kwani huna? Hata wa kuchoraaa?? Poleeeeeh
Nyie vijanaa si hamuwatakiii??Nimpate wapi@cocastic hatak kunipa kijana mmoja
itaachiwa YouTube, ni wee na bundles lako tyuuh.! Mkitoa singo mniite nisikilizeee!!
Poleeeeee weeSinaa shougaaangu natiajee hurumaa !
Yani sura imenichachuka hapa 😂😂😂ila wee Tinny bhana.