Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Hehee nimekuta hukoWoiiiiiii dear hii avatar umeipatiaa mnoooo
Iko vyediii![]()
aiseee naibadilisha sifananii 😂😂😂😂
Hehee nimekuta hukoWoiiiiiii dear hii avatar umeipatiaa mnoooo
Iko vyediii![]()
Shida hiyoSiwez chakula kitamu
Nzuri bhanaaa iacheeHehee nimekuta huko
aiseee naibadilisha sifananii![]()




Yah taarabuHahah huu wimbo wa taarab.
Kwa wale wakazi wa tanga mjini daladala nyingi mwendo wa taarabu speaker kubwa.
Young blood unazikumbuka daladala zenu za kisosora nguvumali??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sautiiiii pullliiizzzzzzzzzzzzzzz 🎶🎶🎶🎶🎶🎼🎼🎼!!🎵Na yangu mengi mahitaji sinamida huo
Mimi nalisaka tonge Ili liende kinywani
Sijatia mazonge kujitia mashakani
Niende huku niende kule kuitafuta Riziki
Sio kupiga kelele kujiongezea dhiki🎵@Antoniia
Mimi siko hivyoNzuri bhanaaa iachee![]()
Sauti njoo piemuSautiiiii pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
Asantreeeeeeh
🤣🤣🤣😂😂😁!!
Hilo kande hamjaweka nazi wala peanutUtaki sio
Ndio linaleta nguvu za kiumeHilo kande hamjaweka nazi wala peanut
🎵🎵Kama noma na iwe noma
Nishaamua mapenz
Nimepata alo mwema Si mwingi wa mashauz
Anapotak kusema n mm Sina ajiz
Simtupii lawanm kwani hodari wakazi ah
Unipa mapema mapema kabla ya usingiz
Hata niwe na homa hupoi Kwa yake ddozi🎵🎵
Omar kopa
Mamboyenu ya zamani boss lady
Nitamleta mbosso sio muda mrefu😂😂😂
Ahahahahh leo unanikataa kabisa kakaWewe mzee wa shemeji shemeji huku unazima taa..hufai kabisa
Hizi line uimbiwe na mtoto mzuri ni Kali saanaaKama noma na iwe noma
Nishaamua mapenz
Nimepata alo mwema Si mwingi wa mashauz
Anapotak kusema n mm Sina ajiz
Simtupii lawanm kwani hodari wakazi ah
Unipa mapema mapema kabla ya usingiz
Hata niwe na homa hupoi Kwa yake ddozi
Omar kopa
Mamboyenu ya zamani boss lady
Ahhahaha mainsi mabich hayaHilo kande hamjaweka nazi wala peanut