Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

🎵🎵Kama noma na iwe noma
Nishaamua mapenz
Nimepata alo mwema Si mwingi wa mashauz
Anapotak kusema n mm Sina ajiz
Simtupii lawanm kwani hodari wakazi ah
Unipa mapema mapema kabla ya usingiz
Hata niwe na homa hupoi Kwa yake ddozi🎵🎵
Omar kopa
Mamboyenu ya zamani boss lady

Asantreeeeeeh 💕💕💕💕💕💕🤣🤣!!
Kula maishaaaaa Ndio hayahayaaa!!
 
[emoji444][emoji444]Kama noma na iwe noma
Nishaamua mapenz
Nimepata alo mwema Si mwingi wa mashauz
Anapotak kusema n mm Sina ajiz
Simtupii lawanm kwani hodari wakazi ah
Unipa mapema mapema kabla ya usingiz
Hata niwe na homa hupoi Kwa yake ddozi[emoji444][emoji444]
Omar kopa
Mamboyenu ya zamani boss lady
Hizi line uimbiwe na mtoto mzuri ni Kali saanaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂Nimpate wapi@cocastic hatak kunipa kijana mmoja
[QUOTE="Aaliyyah, post: 46642754, member: 663227


Thubutruuuuuuuuuu 😁😁😁!!
Tena anaonekana kakuvuruga sio kidogooooo sio kwa mi dedication hioii!! 😂😂!!
 
🎵Dereva wa moyo wangu
Usinipeleke puta puta (Puta)
Taratibu mwenzangu
Penzi njia yenye matuta (Tuta)
Amepinga nimepinga
Penzi hamwezi futa (Futa)
Nakula kwa raha zangu
Nyama mpaka mfupa (Fupa)
Kisura cha upole
Kama mama yangu
Unifunde kwa mkole
Uwe somo yangu Talalala🎵
sumbai
 
[QUOTE="Aaliyyah, post: 46642754, member: 663227


Thubutruuuuuuuuuu 😁😁😁!!
Tena anaonekana kakuvuruga sio kidogooooo sio kwa mi dedication hioii!! 😂😂!!
Aah wapi mm ndo nyimbo zangu helasina nianze kumsikiliza nyimbo za masikitiko tena😂😂
 
Back
Top Bottom