Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kiukweli Hali inaonekana ni mbaya sana...

Hapa kwetu SAM hadi kasusiwa mji na mkewe kisa hivo vitoto... mke alimfumania kitandani kwake kabisa ilikua likizo Wanakaa Mbali na mkewe.. !
Aseeehhh...Hivi mzima kweli huyoo Jamani
Kuna mmoja hapa kwetu mwanafunzi wake kama mke wa pili
 
Kiukweli Hali inaonekana ni mbaya sana...

Hapa kwetu SAM hadi kasusiwa mji na mkewe kisa hivo vitoto... mke alimfumania kitandani kwake kabisa ilikua likizo Wanakaa Mbali na mkewe.. !
Na vurugu zangu zoote, huwa sikubali mtoto wa kike kuharibiwa hatma yake hasa wanafunzi.. Mtu anaechezea watoto naona mshenzi tu na kama kuna nafasi namchomea utambii 😅😅
 
Aseeehhh...Hivi mzima kweli huyoo Jamani
Kuna mmoja hapa kwetu mwanafunzi wake kama mke wa pili
Ofisi yao kuna chemba ina kigodoro na blanket kabisa....
Humo wanawafirigisaa watoto hatariii... Hao wa fieldwakijaga sasa 🙌🙌🙌🙌🙌
 
🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🙌🙌🙌🙌🙌🙌!
Acha bangeee kichaa akee Hizo hekaheka nishastaafuu kitrambo mieee😂😂😊!
Unajua jf saa hizi, watu wanaponda na wengine wanasifia nyuzi za style yetu zikianzishwa😂😂. So nataka nikiwashe😍😍😂😂
 
Vyahuku vinavyopenda sasa😂😂😂😊😊!
. Inasikitisha sana
Watoto wadogo tunatakiwa kuwale na kuwaongoza njia ipasayo. Sio tunalalamika tu kuwa watoto wa siku hizi wameharibika, kumbe waharibifu ni sie wenyewe. Tuwalinde watoto wadogo hasa hawa wa mashuleni
 
Back
Top Bottom