Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,994
- 48,498
Sana
Sana
Ahahah mnaziendekeza izo shidaShida hiyo
Huyu mboso aliyepotea akafuchwa na jimama kisha akawa anasafishwa masikioNitamleta mbosso sio muda mrefu![]()
Huyo huyo 😂😂ameonekanaHuyu mboso aliyepotea akafuchwa na jimama kisha akawa anasafishwa masikio
Sent using Jamii Forums mobile app
Invo plsWamekusuka vizuri Umependeza dearr!!!![]()
Naleta sasaheveeee😁😁😂😂😂!!Invo pls
Sijaku underrate shem nimekukubali umetoa somo kali sana😅Shemeji tokea uni underrate siku hizi husalimii kabisa 🤣🤣🤣🤣
Tuwekeee.....!Huyo huyoameonekana
[QUOTE="Aaliyyah, post: 46642754, member: 663227😂😂Nimpate wapi@cocastic hatak kunipa kijana mmoja
😁😁😂😂! Mkitoa singo mniite nisikilizeee!!Wapiiii shangaziii akeee,
Fanya nikupelekee studios. Mweeeeh
Aah wapi mm ndo nyimbo zangu helasina nianze kumsikiliza nyimbo za masikitiko tena😂😂[QUOTE="Aaliyyah, post: 46642754, member: 663227
Thubutruuuuuuuuuu 😁😁😁!!
Tena anaonekana kakuvuruga sio kidogooooo sio kwa mi dedication hioii!! 😂😂!!
😂😂😂Wapiiii shangaziii akeee,
Fanya nikupelekee studios. Mweeeeh
Eendiwoooooooo ndiwoooo...Raha unajipa mwenyewe ausio!!Aah wapi mm ndo nyimbo zangu helasina nianze kumsikiliza nyimbo za masikitiko tena😂😂
Marshaaalaaah....Dereva wa moyo wangu
Usinipeleke puta puta (Puta)
Taratibu mwenzangu
Penzi njia yenye matuta (Tuta)
Amepinga nimepinga
Penzi hamwezi futa (Futa)
Nakula kwa raha zangu
Nyama mpaka mfupa (Fupa)
Kisura cha upole
Kama mama yangu
Unifunde kwa mkole
Uwe somo yangu Talalala
sumbai
Nakuja Mwakaniiiii😊😊😊😊!!Tuwekeee.....!
Gina Saafi sanaa.
Antonnia daslama unakuja lini???
Sent using Jamii Forums mobile app
One time Nakuja na kiporo changu cha wali ndondoo hapooo😋!!🎵🎵Bora ungekuwa mkanda wa DVD
Nyuma ningerudisha
Ulinifanya siambiliki sisikii
Yani ukaniviringisha
Nimeamini mpenz kunanamna
Yameungana na nyama
Hisia zanipeleka siwezi
Kumbumbuku zagandamana
Najifosi nisikate tamaa ya kupenda
Japo inaniuma kinachomiuma muda muda
Nilopoteza wee habari huna
Yaka yakanizidi nilipozama gwii gwii💔
Limenyauka warid kwankumwagiwa asidi
Jamani mapenz yanauma ah 🎵🎵
@Antonnia mje mlie hapa 😂😂nyimboyenu hii 😂😂😂
Mambo ni yente
Hiko kiporo acha tu ni special sanaOne time Nakuja na kiporo changu cha wali ndondoo hapooo😋!!