Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂Nimpate wapi@cocastic hatak kunipa kijana mmoja
[QUOTE="Aaliyyah, post: 46642754, member: 663227


Thubutruuuuuuuuuu 😁😁😁!!
Tena anaonekana kakuvuruga sio kidogooooo sio kwa mi dedication hioii!! 😂😂!!
 
🎵Dereva wa moyo wangu
Usinipeleke puta puta (Puta)
Taratibu mwenzangu
Penzi njia yenye matuta (Tuta)
Amepinga nimepinga
Penzi hamwezi futa (Futa)
Nakula kwa raha zangu
Nyama mpaka mfupa (Fupa)
Kisura cha upole
Kama mama yangu
Unifunde kwa mkole
Uwe somo yangu Talalala🎵
sumbai
 
[QUOTE="Aaliyyah, post: 46642754, member: 663227


Thubutruuuuuuuuuu 😁😁😁!!
Tena anaonekana kakuvuruga sio kidogooooo sio kwa mi dedication hioii!! 😂😂!!
Aah wapi mm ndo nyimbo zangu helasina nianze kumsikiliza nyimbo za masikitiko tena😂😂
 
🎵🎵Bora ungekuwa mkanda wa DVD
Nyuma ningerudisha
Ulinifanya siambiliki sisikii
Yani ukaniviringisha
Nimeamini mpenz kunanamna
Yameungana na nyama
Hisia zanipeleka siwezi
Kumbumbuku zagandamana
Najifosi nisikate tamaa ya kupenda
Japo inaniuma kinachomiuma muda muda
Nilopoteza wee habari huna
Yaka yakanizidi nilipozama gwii gwii💔
Limenyauka warid kwankumwagiwa asidi

Jamani mapenz yanauma ah 🎵🎵
@Antoniia mje mlie hapa 😂😂nyimboyenu hii 😂😂😂
 
🎵🎵Bora ungekuwa mkanda wa DVD
Nyuma ningerudisha
Ulinifanya siambiliki sisikii
Yani ukaniviringisha
Nimeamini mpenz kunanamna
Yameungana na nyama
Hisia zanipeleka siwezi
Kumbumbuku zagandamana
Najifosi nisikate tamaa ya kupenda
Japo inaniuma kinachomiuma muda muda
Nilopoteza wee habari huna
Yaka yakanizidi nilipozama gwii gwii💔
Limenyauka warid kwankumwagiwa asidi

Jamani mapenz yanauma ah 🎵🎵
@Antonnia mje mlie hapa 😂😂nyimboyenu hii 😂😂😂
One time Nakuja na kiporo changu cha wali ndondoo hapooo😋!!
 
Back
Top Bottom