Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Inasikitisha sana. Binafsi nilishakuwa Mwalimu kinondoni Muslim sikuwahi hata tongoza.. ukichezea wa mwenzako leo jiandae wako au ndugu zako.. naogopa sana kuchezea mtu awe mtoto au awe mkubwa.. walimu wanakuwa wahuni kwasababu hawana access ya kupiga parefu
Hongeraa Kwa Hilo ila Sio walimu wa shuleni kwangu wa kiume Malaya mnoo mpk kugombea mwanafunzi wa kike na bodaboda
 
Hongeraa Kwa Hilo ila Sio walimu wa shuleni kwangu wa kiume Malaya mnoo mpk kugombea mwanafunzi wa kike na bodaboda
Sio kitu nzuri, huo ni uharibifu wa watoto, ni kitu cha kukemewa, mwalimu ni mlezi wa mtoto, kama mtu anae aminika kama mlezi anakuwa anafanya hivyo ni kosa kubwa sana. Wachomee wale mvua aisee
 
Back
Top Bottom