cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,321
- 187,999
Wallah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wallah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Poleeeeee wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sinaa shougaaangu natiajee hurumaa [emoji4]!
Yani sura imenichachuka hapa 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee Tinny bhana.
Wanaita teaching allowanceWalimu tuna hali ngumu......
Walimu......
Huyo anakula maharage na parachichi tukimpeleka maeneo yetu si atatoa macho maana vitu vitakua vigeni😆Ngoja aje Lenie akuelezee vizuri
Hongeraa Kwa Hilo ila Sio walimu wa shuleni kwangu wa kiume Malaya mnoo mpk kugombea mwanafunzi wa kike na bodabodaInasikitisha sana. Binafsi nilishakuwa Mwalimu kinondoni Muslim sikuwahi hata tongoza.. ukichezea wa mwenzako leo jiandae wako au ndugu zako.. naogopa sana kuchezea mtu awe mtoto au awe mkubwa.. walimu wanakuwa wahuni kwasababu hawana access ya kupiga parefu
Sio kitu nzuri, huo ni uharibifu wa watoto, ni kitu cha kukemewa, mwalimu ni mlezi wa mtoto, kama mtu anae aminika kama mlezi anakuwa anafanya hivyo ni kosa kubwa sana. Wachomee wale mvua aiseeHongeraa Kwa Hilo ila Sio walimu wa shuleni kwangu wa kiume Malaya mnoo mpk kugombea mwanafunzi wa kike na bodaboda
View attachment 2641211
Kumbe Yanga mliwahi kufulia mpaka mkawa hamna hata mia ya kununua jezi. Kwa huruma chama cha mpira Tanzania kikawasitiri kwa kuwaazima jezi za timu ya taifa
Cc; Antonnia
Khee 🤣🤣Hongeraa Kwa Hilo ila Sio walimu wa shuleni kwangu wa kiume Malaya mnoo mpk kugombea mwanafunzi wa kike na bodaboda
Ya nini kubanana banana na watu bana😂Yeye ndio hataki watu!😅
Walimu WA kiume washenzi sana ndo waharibifu WA kwanza WA watoto wenu
Sio wotee ila baadhi
Nakujaaa hapo fastaaaa mjombaaaa !Mashangazi wanguuu vipenziiii kapaja na kafirigisi.. ndio raha ya kuwa dingi wa mchongook
View attachment 2642325
C.c Antonnia njooo nikulesheeee 😊😊😊
au Bantu Lady unasemaje ati shangazi wangu mzuri
Kwa hiyo mzee baba haukuwahi kula zile totoz kabisa? [emoji848] Na zinajilengesha zenyewe
🤣🤣🤣🤣🤣
Bado Sijapoaaaaa😊😊😂!Poleeeeee wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila Vitoto vina mitego sana, wakati nimemaliza Form 6 nasubiri kwenda chuo nilikuwa napiga Tempo, yaani vitoto vilikuwa vinanipa majaribu sana.
Ukiwa na roho nyepesi, jela inakuhusu
Ule sio msosi ni bomu!😅Huyo anakula maharage na parachichi tukimpeleka maeneo yetu si atatoa macho maana vitu vitakua vigeni😆
Udugu Mwachiluwi huo msosi wako sijauelewa kwanza
Bhanaa shouzz 7bishaa bas, wee nae manjegekaa mnoo lolBado Sijapoaaaaa[emoji4][emoji4][emoji23]!
Ahaa wewe mtu hatari sana😅