Hiko kiporo acha tu ni special sana
Oya rudi mjini hizi vitu vitakuua🤣
Ndo maana tuna vitambi😂😂Acha kabisa...Ninyime vyote ila sio wali ndondo!!
Mi Pamoja na kunywa maji ya moto... mara yenye limao bilabilaaa...ni hakutokii ng'oooo!😊Ndo maana tuna vitambi😂😂
Ndiyooooh
Mimi siko hivyo
sitak kujidanganya ngoja niirudishe




ila wee Tinny bhana.Sinaa shougaaangu natiajee hurumaa 😊!kwani huna? Hata wa kuchoraaa?? Poleeeeeh
Nyie vijanaa si hamuwatakiii??Nimpate wapi@cocastic hatak kunipa kijana mmoja




! Mkitoa singo mniite nisikilizeee!!



itaachiwa YouTube, ni wee na bundles lako tyuuh.Yani sura imenichachuka hapa 😂😂😂ila wee Tinny bhana.
Wanaita teaching allowanceWalimu tuna hali ngumu......
Walimu......
Huyo anakula maharage na parachichi tukimpeleka maeneo yetu si atatoa macho maana vitu vitakua vigeni😆Ngoja aje Lenie akuelezee vizuri
Hongeraa Kwa Hilo ila Sio walimu wa shuleni kwangu wa kiume Malaya mnoo mpk kugombea mwanafunzi wa kike na bodabodaInasikitisha sana. Binafsi nilishakuwa Mwalimu kinondoni Muslim sikuwahi hata tongoza.. ukichezea wa mwenzako leo jiandae wako au ndugu zako.. naogopa sana kuchezea mtu awe mtoto au awe mkubwa.. walimu wanakuwa wahuni kwasababu hawana access ya kupiga parefu
Sio kitu nzuri, huo ni uharibifu wa watoto, ni kitu cha kukemewa, mwalimu ni mlezi wa mtoto, kama mtu anae aminika kama mlezi anakuwa anafanya hivyo ni kosa kubwa sana. Wachomee wale mvua aiseeHongeraa Kwa Hilo ila Sio walimu wa shuleni kwangu wa kiume Malaya mnoo mpk kugombea mwanafunzi wa kike na bodaboda