mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,160
- 22,615
Kumbe we ni ME alafu unatupostia picha za mapaja ya wanawake unaturusha roho
Kumbe we ni ME alafu unatupostia picha za mapaja ya wanawake unaturusha roho
Upo sahihi mkuu, tuwalinde vijana. Ila huyu dogo anaanza kuweka picha za me vs me wakibusiana na kuvalishana pete sio poa hata, japo tuliopo humu ni watu wazima lakini taratibu za nchi haziruhusu mahusiano ya namna hii kuwekwa public. Sio poa hata! Moderator walifikirie hili.kaka tuwalinde watoto wetu wa kiume (kama unae)
mimi ninaye
word.....nashangaaa kuna watu wanamfurahia kabsa kuna watu na magay na wanajuta ugay wao hawako proud na wanafanya siri...Upo sahihi mkuu, tuwalinde vijana. Ila huyu dogo anaanza kuweka picha za me vs me wakibusiana na kuvalishana pete sio poa hata, japo tuliopo humu ni watu wazima lakini taratibu za nchi haziruhusu mahusiano ya namna hii kuwekwa public. Sio poa hata! Moderator walifikirie hili.
wee mpare lile paja langu mie, hizo picha za mtu mwingne nizitoe wapi? Na niweke ili iweje?Kumbe we ni ME alafu unatupostia picha za mapaja ya wanawake unaturusha roho
Babuuuh vip?
Nini tena wee Ngosha?Mmmmmh
Private school tukiwaambia mnaiba paper hamtaki kusema serikali tu kumekushinda.Ila kitonga napo pana kisanga mmmh, nikiwa nasafiri kwenda home au kutoka home kuja huku, nikifka kitonga nakua mpolee na kusali San.
Selikali iangalie namna gan itarekebisha pale, kuepusha adha kwa wanachi wake.
Mbegu aina 2 na Mboga kadhaa
Huvuti bangimitano tena...View attachment 1678969
Msichana uyo na kaolewahahahahahahahha et hovyoooooo nimeku imagine ulivyokunja mdomo.......mkuu achana na hilo pepo aisee njoo kiumeni huku kutamu sana....
utakuja???
Sasa unataka nijichukie ili iweje? Eti wengine wanajuta labda hawana hisia hizo kiu halisia, waliingia aidha kwa kushawishiwa, tamaa, matatzo yao binafsi,word.....nashangaaa kuna watu wanamfurahia kabsa kuna watu na magay na wanajuta ugay wao hawako proud na wanafanya siri...
aka kakimbaumbau kanajisifia kabsa kwa dushe tamu alooh
Junior huyu kabisa
Heeh wee nan kasoma private school? Nimesoma gvt level zote, na ukosefu wa uandishi ni kawaida kwa mwanadamu yeyote,Private school tukiwaambia mnaiba paper hamtaki kusema serikali tu kumekushinda.
Sasa gari yenyewe vepeeeh grand Pa? Nawait tyuuuh
Kwahiyo ulitaka kusemaje? Km kweli hamtaki mbona kutwa kuongelea hilo suala?Upo sahihi mkuu, tuwalinde vijana. Ila huyu dogo anaanza kuweka picha za me vs me wakibusiana na kuvalishana pete sio poa hata, japo tuliopo humu ni watu wazima lakini taratibu za nchi haziruhusu mahusiano ya namna hii kuwekwa public. Sio poa hata! Moderator walifikirie hili.
kwani Kuna nin ?Kwahiyo ulitaka kusemaje? Km kweli hamtaki mbona kutwa kuongelea hilo suala?
Muwage buzzy na mambo ya msingi ambayo yanaleta tija kwenu, sio kuzungumzia kitu ambacho kinaonekana ni tatizo. Inakua ni unafiki tyuuh.
Kuhusu serikali na taratibu za nchi ziko wazi, na ndo maana niko makini ktk hilo, na sijawahi kukiuka, na nikupe motisha sasa, LGBT ni taasisi pana na imara iliyokuwa ktk misingi yake, na haitokuja kuanguka kamweeeh abadani Dunia igeuke Ardhi juu Anga chini.
Walinde walee, na watunze wanao vile wee unataka wawe, ila akifikia umri fulan anakua na maamuzi yake binafsi pia jua hilo.
Nikutakie malezi mema, halafu acha kuwaita Moder, hicho ni kihere here,
Relaaaaaaaaaaaax.