Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ooh kumbe?? Basi Mungu akipenda nitajuana na baadhi ya watu humu JF ofcourse kuna watu wengi tu ningependa kujuana nao humu ila aibu zangu tu ndiyo zinanikwamisha!!
Naam...

Siku hizi ndio maana waona jamaa wa zamani hawapo sana huku...

Sisi wengine wabishi tu ndio maana bado tupo tupo...

Ila nyuma ya pazia huku, tunakutana like friends and not JF members (yaani kujuana hadi real names etc)
 
Mkuu nakujibu kiurahisi kabisa

Darasa la saba nilimaliza kitambo

1. Nina Bachelor degreee moja
2. Master degree 1
3. Niliamua kusoma Phd, udsm 2015, nikaamua kuacha katikati
4. Nina postgraduate diploma in taxation 2018

Kisha

1. Nimejiajiri
2. Nimeoa
3. Nina watoto
4. Nimeajiri
5. My life is good actually mtu akisema vyuna vimekaza namuona anazingua

Na pia...

sina marafiki wengi ila ni kijana mla bata sana, mtu wa watu na sina tatizo na mtu.

Nimejikuta napenda sana kujiachia JF sababu ni sehemu ambayo nnachati na marafiki pamoja na maroboti kama wewe ambao mnakaa na kuanza kuumia moyo namna mtu anavyoishi...

Mwisho...

Nitumie namba yako niku bless hata 50k jioni yako iende vizuri fool
Mbona fool tena😂😂
Hadi nimepata kicheko
 
haki ya nani tena,, siwezi jisikia vibaya maana nakuelewa,, sikatai mimi ni muongeaji na ninapenda sana utani ila ni hadi mtu nimzoee sana hauwezi amini kuna ndugu zangu tu hadi leo wanajua mie mpole maana nikienda kwao siongei kabisa,, basi nikisifiwa hivyo kuwa mimi ni mpole dada zangu utasikia wanaguna tu wanasema huyu tunamjua sisi hamna mpole hapa..
Mimi kwa ndugu siwezi kukaa..Maana mwisho wa siku wataona kama wananinyanyasa.
Huwa siendi kwa ndugu.
 
Back
Top Bottom