carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,569
- 285,617
Rafiki upepo unakupeleka wapi eti??
Rafiki upepo unakupeleka wapi eti??
Hapo mibs natamani sana nipafike last week nilikuwa huko wakati napanga mikakati ya kufika huku nikabanwa maeneo mpaka naondokaTulia hata mibs basi mkuu au samaki mcity moja moja
Haya ukuje huku Muhezayeah ukianzisha wewe kuongea haina shida mie nitatambaa na beat tu



wewe nakuona "tonji",, lol hilo neno nililijulia kwako basi ndiyo limenikaa na nimeona nikutanie nalo mwenyewe tu
Mimi vipi?
Rafiki upepo unakupeleka wapi eti??
Naona.... Dada nasubiri kelebu ya uso basi 😚 nikakunywe mirinda nyeusi na kekiMwenzio yuko serious ujue
Chapombe Jana ulisema Nini kuhusu bia?
Huu ndiyo uzi wa mapicha picha kumbe
Kumbe na wewe unaendaga mjini?!Hapo mibs natamani sana nipafike last week nilikuwa huko wakati napanga mikakati ya kufika huku nikabanwa maeneo mpaka naondoka
Kuna watu wanaandika magazeti ili uwajibu inabidi u print. Maana usipofanya hivyo ukifika mwisho umeshasahau mwanzoJitahidi kuwa rafiki wa mazingira kwa kupunguza ku print kama hakuna sababu mkuu.
Vinginevyo umejitahidi sana kupangilia ofisi.


Naona.... Dada nasubiri kelebu ya uso basinikakunywe mirinda nyeusi na keki







Mkuu nakujibu kiurahisi kabisa
Darasa la saba nilimaliza kitambo
1. Nina Bachelor degreee moja
2. Master degree 1
3. Niliamua kusoma Phd, udsm 2015, nikaamua kuacha katikati
4. Nina postgraduate diploma in taxation 2018
Kisha
1. Nimejiajiri
2. Nimeoa
3. Nina watoto
4. Nimeajiri
5. My life is good actually mtu akisema vyuna vimekaza namuona anazingua
Na pia...
sina marafiki wengi ila ni kijana mla bata sana, mtu wa watu na sina tatizo na mtu.
Nimejikuta napenda sana kujiachia JF sababu ni sehemu ambayo nnachati na marafiki pamoja na maroboti kama wewe ambao mnakaa na kuanza kuumia moyo namna mtu anavyoishi...
Mwisho...
Nitumie namba yako niku bless hata 50k jioni yako iende vizuri fool
Sawa hakuna shida umepata
Ubakishe nyingine ya January 😂😂😂Achana naye huyo mkuu,, hiyo pesa nitumie mimi nipo kwa wakala hapa..
Achana naye huyo mkuu,, hiyo pesa nitumie mimi nipo kwa wakala hapa..










😂😂😂💃💃💃💃💃💃
Njoo nikuambie..