Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
Tnx babe...
Babe
You look good
![]()
Babe
You look good
![]()
Ze KidukuLilo effect....
,,, sawaMkuu nnamsubiria atume namba, ipo 50k na kwako pia mda huu ni saa 18:39 kabla sijaondoka ofisini, tuma nambaView attachment 1251078
Naona kaka, nitambulisheTnx babe...
Naona kaka, nitambulishe
Hizi blessings zinakwenda kindugu?Mkuu nakujibu kiurahisi kabisa
Darasa la saba nilimaliza kitambo
1. Nina Bachelor degreee moja
2. Master degree 1
3. Niliamua kusoma Phd, udsm 2015, nikaamua kuacha katikati
4. Nina postgraduate diploma in taxation 2018
Kisha
1. Nimejiajiri
2. Nimeoa
3. Nina watoto
4. Nimeajiri
5. My life is good actually mtu akisema vyuna vimekaza namuona anazingua
Na pia...
sina marafiki wengi ila ni kijana mla bata sana, mtu wa watu na sina tatizo na mtu.
Nimejikuta napenda sana kujiachia JF sababu ni sehemu ambayo nnachati na marafiki pamoja na maroboti kama wewe ambao mnakaa na kuanza kuumia moyo namna mtu anavyoishi...
Mwisho...
Nitumie namba yako niku bless hata 50k jioni yako iende vizuri fool
Lizarazu Kaka yetu wa damuhuo ni uchochezi, ila Lizarazu mbona tumeshataniana sana huyo mwanzo ndiyo nilikuwa namuona wa ajabu ila kumbe ni mtu poa sana. Waulize Saint anne na cute b watakuambia
![]()

Niko namuangalia mwaanga kwa umakini hapa hahahaJitahidi na wewe leo uweke hata kidoleView attachment 1250607
Ha ha ha noma mkuu, huu upande mwingine View attachment 1250974
Mimi nikiwa ofisini ukinitumia email nina iprint kisha ninasomaold school
Naona kaka, nitambulishe
Ha ha ha noma mkuu, huu upande mwingine View attachment 1250974
Mimi nikiwa ofisini ukinitumia email nina iprint kisha ninasomaold school
Anafika mikoanii?!Ukiwa tayar niambie nikupe namba zake maana anakufuata ulipo pia kama umebanwa na majukumu
Kwa mezaaChipi
Mkuu nnamsubiria atume namba, ipo 50k na kwako pia mda huu ni saa 18:39 kabla sijaondoka ofisini, tuma nambaView attachment 1251078
HahahahahahaHa ha haupo serious sakayo...nimehisi hivyo





Mkuu nakujibu kiurahisi kabisa
Darasa la saba nilimaliza kitambo
1. Nina Bachelor degreee moja
2. Master degree 1
3. Niliamua kusoma Phd, udsm 2015, nikaamua kuacha katikati
4. Nina postgraduate diploma in taxation 2018
Kisha
1. Nimejiajiri
2. Nimeoa
3. Nina watoto
4. Nimeajiri
5. My life is good actually mtu akisema vyuna vimekaza namuona anazingua
Na pia...
sina marafiki wengi ila ni kijana mla bata sana, mtu wa watu na sina tatizo na mtu.
Nimejikuta napenda sana kujiachia JF sababu ni sehemu ambayo nnachati na marafiki pamoja na maroboti kama wewe ambao mnakaa na kuanza kuumia moyo namna mtu anavyoishi...
Mwisho...
Nitumie namba yako niku bless hata 50k jioni yako iende vizuri fool
HahahahahaahHahah...hakyamaaa (kwa lafudhi ya mlimani uchagani)
Poa kabisaaMambo