The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,445
- 20,809
Tualikane viwanja ndugu zangu,ndo tunarejeaView attachment 1251011
Upo wapi?
Tualikane viwanja ndugu zangu,ndo tunarejeaView attachment 1251011
Upo wapi?
Wachawi nawaogopa
Mbona ulichelewa kujibu eti
Mkuu nakujibu kiurahisi kabisa
Darasa la saba nilimaliza kitambo
1. Nina Bachelor degreee moja
2. Master degree 1
3. Niliamua kusoma Phd, udsm 2015, nikaamua kuacha katikati
4. Nina postgraduate diploma in taxation 2018
Kisha
1. Nimejiajiri
2. Nimeoa
3. Nina watoto
4. Nimeajiri
5. My life is good actually mtu akisema vyuna vimekaza namuona anazingua
Na pia...
sina marafiki wengi ila ni kijana mla bata sana, mtu wa watu na sina tatizo na mtu.
Nimejikuta napenda sana kujiachia JF sababu ni sehemu ambayo nnachati na marafiki pamoja na maroboti kama wewe ambao mnakaa na kuanza kuumia moyo namna mtu anavyoishi...
Mwisho...
Nitumie namba yako niku bless hata 50k jioni yako iende vizuri fool






































Mkuu nakujibu kiurahisi kabisa
Darasa la saba nilimaliza kitambo
1. Nina Bachelor degreee moja
2. Master degree 1
3. Niliamua kusoma Phd, udsm 2015, nikaamua kuacha katikati
4. Nina postgraduate diploma in taxation 2018
Kisha
1. Nimejiajiri
2. Nimeoa
3. Nina watoto
4. Nimeajiri
5. My life is good actually mtu akisema vyuna vimekaza namuona anazingua
Na pia...
sina marafiki wengi ila ni kijana mla bata sana, mtu wa watu na sina tatizo na mtu.
Nimejikuta napenda sana kujiachia JF sababu ni sehemu ambayo nnachati na marafiki pamoja na maroboti kama wewe ambao mnakaa na kuanza kuumia moyo namna mtu anavyoishi...
Mwisho...
Nitumie namba yako niku bless hata 50k jioni yako iende vizuri fool
Tuselfike lakini pia tusome jumbe zenye tafakuri jadidi View attachment 1250986
Ndo natoka mjini mzee,naelekea mitaa ya mbezi beach
Tualikane viwanja ndugu zangu,ndo tunarejeaView attachment 1251011
Ndani ndani huko..chimbo la kitimoto choma
Harakati za kuisubiri nikajikuta tu tayari ninachochote kitu mkononiView attachment 1250963

Msamehe Mkuu, ni utani tuu!
Hiyo namba 4, naweza pata connection?!
Ha ha ha noma mkuu, huu upande mwingine View attachment 1250974
Mimi nikiwa ofisini ukinitumia email nina iprint kisha ninasomaold school
Jamaani
Apia hebu
Nitumie namba yako niku bless hata 50k jioni yako iende vizuri fool
Njoo nikuambie.."Kudhungu" ndiyo nini eti??
MamboAbeeee
Mimi ndiyeMkuu huyo kwa avatar yako ni wewe?