Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Amenifanya niizoomAsali
Amenifanya niizoomAsali
Kiniambie HebuKuna kitu kimenichekesha zaidi
Mwambie Jf user anakupa hi
Hajui hata JF ni ni nini,nenda Juba South Sudan kwenye ofisi za Redcross yupo huu mwezi wote.Mwambie Jf user anakupa hi
AiseeeHa ha ha noma mkuu, huu upande mwingine View attachment 1250974
Mimi nikiwa ofisini ukinitumia email nina iprint kisha ninasomaold school
Kizuri kula na nduguyo
Naona uko na kihusika mkuuSitaki stress muda huuView attachment 1250976
Anapatikana ubungo kibo mamyEwaaaaa
Nielekeze kwa fundi wako dear
Habari za siku jirani yanguJirani!![]()
Mkuu uko darasa la ngapi,
Mkuu, naomba tuonane uniazime hicho kitabu.
HayaAnapatikana ubungo kibo mamy
Msamehe Mkuu, ni utani tuu!Mkuu nakujibu kiurahisi kabisa
Darasa la saba nilimaliza kitambo
1. Nina Bachelor degreee moja
2. Master degree 1
3. Niliamua kusoma Phd, udsm 2015, nikaamua kuacha katikati
4. Nina postgraduate diploma in taxation 2018
Kisha
1. Nimejiajiri
2. Nimeoa
3. Nina watoto
4. Nimeajiri
5. My life is good actually mtu akisema vyuna vimekaza namuona anazingua
Na pia...
sina marafiki wengi ila ni kijana mla bata sana, mtu wa watu na sina tatizo na mtu.
Nimejikuta napenda sana kujiachia JF sababu ni sehemu ambayo nnachati na marafiki pamoja na maroboti kama wewe ambao mnakaa na kuanza kuumia moyo namna mtu anavyoishi...
Mwisho...
Nitumie namba yako niku bless hata 50k jioni yako iende vizuri fool
Hiyo radio call.... mshana hahahSitaki stress muda huuView attachment 1250976
Ukiwa tayar niambie nikupe namba zake maana anakufuata ulipo pia kama umebanwa na majukumuHaya
Nakuja soon