Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna wakati tunahitaji ku realise stress... Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya.. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya...

Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha... Kuna wakati tunakuwa wavivu kujibu hoja kwa maandishi ama kuchangia...

Solution hii HAPA sasa.... Utashangazwa na matokeo yake...!!!

.. Utajikuta kwenye ulimwengu wa furaha isiyo kifani... Fanya hivi..! hapo ulipo tupia picha yako.. Ya sehemu yoyote mwilini... Epuka picha yenye kuonesha sura kwa sababu za wazi kabisa... Mimi nitaaza na hizi.. View attachment 1217156View attachment 1217157View attachment 1217158


Sangoma jaribu kuwa mstaarab kidogo, unatuonyesha picha za pumbu zako ili iweje?
 
Urafiki huwa unatokea tu automatic mnajikuta mnaclick, na cha kuongea huwa hakikosekani. Kama ambavyo ktk jamii huwezi kuwazoea watu wote na humu ni hivyo hivyo. Kuna mtu unakuta tu conversation nae inakuwa smoooth na cha kuongea hamkosi. Ila kuna mwingine mkisalimiana mnaishia hapo hapo.

Mie huonana na ambao atleast tuna pa kuanzia.
Sawa auntie
 
nimecheka hapo "ila kuna mwingine mkisalimiana mnaishia hapo hapo"

Haki vile huo ni ukweli kabisa kila ukitafuta cha kumuongelesha kwenye texts unajikuta unaandika unafuta unaandika unafuta hadi unaona bora uache tu muishie kwenye salamu japo mimi huwa najitahidi sana ku make friends
Urafiki huwa unatokea tu automatic mnajikuta mnaclick, na cha kuongea huwa hakikosekani. Kama ambavyo ktk jamii huwezi kuwazoea watu wote na humu ni hivyo hivyo. Kuna mtu unakuta tu conversation nae inakuwa smoooth na cha kuongea hamkosi. Ila kuna mwingine mkisalimiana mnaishia hapo hapo.

Mie huonana na ambao atleast tuna pa kuanzia.
 
nimecheka hapo "ila kuna mwingine mkisalimiana mnaishia hapo hapo"

Haki vile huo ni ukweli kabisa kila ukitafuta cha kumuongelesha kwenye texts unajikuta unaandika unafuta unaandika unafuta hadi unaona bora uache tu muishie kwenye salamu japo mimi huwa najitahidi sana ku make friends
Ndio hivyo, kikubwa mnachoweza kuongea ni salamu tu mmemaliza
Vingine vinagoma.
 
Weekend loading...
1572613670095.jpeg
 
acha tu sema kinachofanya niwe hivyo ni aibu tu,, na pia huwa nawaza nisije nikaongea au nikaandika kitu kikamkera au kikamboa mtu..maana huwa sipendi kumkwaza mtu

Na katika maisha yangu siwezi kuishi na mtu aliye serious muda wote maana mimi napenda sana utani hivyo nitamuogopa,, na hata hapa JF tu kuna watu siwezi kuthubutu kuwatania hata kwa bahati mbaya..
Ndio hivyo, kikubwa mnachoweza kuongea ni salamu tu mmemaliza
Vingine vinagoma.
 
Back
Top Bottom