Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

acha tu sema kinachofanya niwe hivyo ni aibu tu,, na pia huwa nawaza nisije nikaongea au nikaandika kitu kikamkera au kikamboa mtu..maana huwa sipendi kumkwaza mtu

Na katika maisha yangu siwezi kuishi na mtu aliye serious muda wote maana mimi napenda sana utani hivyo nitamuogopa,, na hata hapa JF tu kuna watu siwezi kuthubutu kuwatania hata kwa bahati mbaya..

Lizarazu unaitwa huku.
 
Ila kusema ukweli mwenyewe ninavyoongea hapa utadhani mie ndiyo nina huo ujasiri wa kuonana na mtu wa JF,, haki namuunga mkono joanah alijisemeaga suala la kuonana na mtu yeyote wa JF ni gumu sana tutataniana humu tutacheka ila kuonana daah..
Just be real here and outta here...

Zamani we used to hang out like a lot, i just miss em old days...

Anyway kila zama na kitabu chake
 
Nasubiri.
Nimeleta maji ya kunawa kwanza,, msosi unakuja sasa hivi..
Screenshot_20191101-162423.jpeg
Screenshot_20191101-162429.jpeg
 
Back
Top Bottom