The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,445
- 20,809
Noma nini mpendwa![]()
Yani supu ya hapo tamu saaanaaa


itabidi ujaribu siku mojaaNoma nini mpendwa![]()


itabidi ujaribu siku mojaaAiseeeKaribu mkuu, kama upo maeneo ya mikocheni ama maeneo ya karibu basi nakukaribisha sana chagua tuu supu asubuhi ama lunch j3 - ijumaa, amajioni maana weekend mood ndio ishakick
Bia tenaUpo wapi mkuu uje upate hata bia3 tu




.
Tatizo langu la kutembea unalijua.
Yaani umefika Hadi tazarahapo jirani ningepiga moyo konde nije
Huna hasara njoo fastaBia tena
Sijui nitakuwaje nikinywa pombe walah![]()
Mi nshaonana nao kibao, kuanzia Arusha, Kigoma, Dar na Songea coz sidhani kama nina bifu na mtu humuIla kusema ukweli mwenyewe ninavyoongea hapa utadhani mie ndiyo nina huo ujasiri wa kuonana na mtu wa JF,, haki namuunga mkono joanah alijisemeaga suala la kuonana na mtu yeyote wa JF ni gumu sana tutataniana humu tutacheka ila kuonana daah..
Aiseee
Niko namtumbo mkuu
Hebu refresh banaaa
Nakuja mkuu.Huna hasara njoo fasta
Simu yangu ya Tachi imekufa hapa hunioni hadi j3 maana natumia PC ya ofisi
labda kuanzia wiki ijayo
Nimeona mnanisengenya halafu hata sielewi nikabaki na mfurugano.Nambie mama la mama
Mimi sinywi kabisa@Hazard CFC mambo yako haya.
nijulishe fasta maana natoka hapa saa15.30 nikupe codes kama upo seriousNakuja mkuu.
Ni ngumu +u introvert wanguIla kusema ukweli mwenyewe ninavyoongea hapa utadhani mie ndiyo nina huo ujasiri wa kuonana na mtu wa JF,, haki namuunga mkono joanah alijisemeaga suala la kuonana na mtu yeyote wa JF ni gumu sana tutataniana humu tutacheka ila kuonana daah..




Pic naahidi next week au ntaazima simu ya mtu this weekendOhoo ndiyo imetoka hiyo