Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila ndiyo maana huwa naangalia na mtu wa kumuonesha maana ningemuonesha mtu kama Atoto za kwake angeona najaa kichwa kwahiyo angeacha ndiyo maana nilikuonesha wewe tu za kwako[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
[emoji1745][emoji1745][emoji1745][emoji1745][emoji1745][emoji1745]
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]hivi kweli wewe ndiyo wa kunifanyia mimi hivi?? Mshana Jr umemkimbiza hadi kwa waziri mkuu halafu haujafika ila mimi umenikimbiza hadi kwa rais kabisa halafu haujafika kweli??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijajua unashangilia nini ila mekutumia picha
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]hivi kweli wewe ndiyo wa kunifanyia mimi hivi?? Mshana Jr umemkimbiza hadi kwa waziri mkuu halafu haujafika ila mimi umenikimbiza hadi kwa rais kabisa halafu haujafika kweli??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu refresh banaaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapana ni kwamba tu mimi simo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa bwana, naona unanibadilishia gia angani jamani
 
Back
Top Bottom