


nimeona na nilitaka na mimi niscreenshoot ila nilivyoona lile jibu lake nikaghairi hapo hapo nikasema nisije nikajiharibia cv bureeeee


Si umeona alichonifanya na mimi jamani
Ni nini eti jamani mdogo wangu mzuri mzuri
Unanicheka kwweeliii
nimeona na nilitaka na mimi niscreenshoot ila nilivyoona lile jibu lake nikaghairi hapo hapo nikasema nisije nikajiharibia cv bureeeee
Naomba usiniulize tena eti tulikuwa tunaongelea nini![]()









Una uhakika lakiniiiusichezee nguvu ya umma
![]()
We naona wanifurughaaaaa (kwa sauti ya Senga)Huyo ulomuongelea ndio simfahamu.
NATAFUTA DEMU.
Unajifuruga mwenyewe.We naona wanifurughaaaaa (kwa sauti ya Senga)
Unajifuruga mwenyewe.
Hivi mnaongelea niniWe naona wanifurughaaaaa (kwa sauti ya Senga)