Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimeona na nilitaka na mimi niscreenshoot ila nilivyoona lile jibu lake nikaghairi hapo hapo nikasema nisije nikajiharibia cv bureeeee

Naomba usiniulize tena eti tulikuwa tunaongelea nini[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si umeona alichonifanya na mimi jamani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimeona na nilitaka na mimi niscreenshoot ila nilivyoona lile jibu lake nikaghairi hapo hapo nikasema nisije nikajiharibia cv bureeeee

Naomba usiniulize tena eti tulikuwa tunaongelea nini[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siwezi kusahau kitu muhimu hivyo jamani!!

Kwa nini eti jamani anijibu vilee!? Najua auntie kachua hadi roho ya babu yetu
 
Back
Top Bottom