Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilikuwa nimevaa suruali ya kitambaa ipo slim imenikaa na shati ya mikono mirefu nimechomekea, na moka flani zimenyooka sana, nilikuwa nasubiria gari, nilikuwa nimening'iniza tai nyembamba kifuani.

Kuna dada mmoja alikuwa ananiangalia mpaka naingia garini halafu ilikuwa pisi ya maana, that day nilikuwa napata attention sana toka kwa wanawake wale early 30's and above.

Nilifahamu kweli wanawake wa umri fulani wanapenda aina fulani ya uvaaji.

Sasa mkuu wameshatusema sana kuhusiana na kuvaa mashati ya suruali na sisi tuanza kusema tunavyopenda.
😅😅😅 ni vi bukta, na vimini , nywele ziwe fupi au natural kama suruwale ile ya kushika mwili flani hivi sijui kipedo sijui shart sijui iwe kwa juu kidogo kama inaachia kitovu hivi na kashang kama ka gold hivi kamoja kanakuwa kama kanaoneka.. sunday basi ni mwendo wa kiofisi alafu kikuu huwa vinaongeza urembo wao marashi ya gucciw au versarch.. hatari sana alafu awe sport sport girl flani akila snikcer hatari au rabaa hivi noma
 
ni vi bukta, na vimini , nywele ziwe fupi au natural kama suruwale ile ya kushika mwili flani hivi sijui kipedo sijui shart sijui iwe kwa juu kidogo kama inaachia kitovu hivi na kashang kama ka gold hivi kamoja kanakuwa kama kanaoneka.. sunday basi ni mwendo wa kiofisi alafu kikuu huwa vinaongeza urembo wao marashi ya gucciw au versarch.. hatari sana alafu awe sport sport girl flani akila snikcer hatari au rabaa hivi noma
Mmehamia kwetu sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom