Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Oooooh hapo sawaaaah, ila una kichwa cha kunyoa afro kiduku flan iv, unyama mwingi sanaaa.[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
Nakubali mwaisaaa

Tatizo nyumbani kwetu kuna wakubwa 🤣🤣
 
Msamaha hutolewa kwa mwenye kuomba msamaha. Msamaha hutanguliwa na kukiri makosa na kuomba radhi badala ya kiburi cha dhambi, upotovu na upotevu. Wakati mwingine hukumu na adhabu ni msingi wa haki, ukweli, nidhamu na maadili. Kukosea ni ubinadamu, kujikosoa ni utu. #UkurasaMpya
 
Msamaha hutolewa kwa mwenye kuomba msamaha. Msamaha hutanguliwa na kukiri makosa na kuomba radhi badala ya kiburi cha dhambi, upotovu na upotevu. Wakati mwingine hukumu na adhabu ni msingi wa haki, ukweli, nidhamu na maadili. Kukosea ni ubinadamu, kujikosoa ni utu. #UkurasaMpya
Kutoa msamaha ni kamzozo flani hivi kagumu sana
 
Msamaha hutolewa kwa mwenye kuomba msamaha. Msamaha hutanguliwa na kukiri makosa na kuomba radhi badala ya kiburi cha dhambi, upotovu na upotevu. Wakati mwingine hukumu na adhabu ni msingi wa haki, ukweli, nidhamu na maadili. Kukosea ni ubinadamu, kujikosoa ni utu. #UkurasaMpya
Msamaha? Which? Where? Who?
Si tulikubaliana hakna kusamehe? Kila mtu ashike 20 zake?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] kwan wengine kwao wana nn? Ila wee daaah.
Wakubwa waliopo majumbani mwetu wana tofautiana… mf, kwa kaka ake mama siwezi enda nimevaa skin jeans, ila home kwetu navaa.

Umeona utofauti huo?
 
Msamaha? Which? Where? Who?
Si tulikubaliana hakna kusamehe? Kila mtu ashike 20 zake?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣 subiri siku uvuruge
Ndio utajua umuhimu wa msamaha.
 
Wakubwa waliopo majumbani mwetu wana tofautiana… mf, kwa kaka ake mama siwezi enda nimevaa skin jeans, ila home kwetu navaa.

Umeona utofauti huo?
Ooooh hapo nimekumanyaa. [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
 
Back
Top Bottom