Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
shangazi shangazimweh!!
Madam ni ukweli kabisa wala si uongo
Your such a beautiful lady(umenifanya hadi nimeandika kiinglish kuonyesha msisitizo)


shangazi shangazimweh!!


Ila si umeona wanavyonoga?Huyo wa tall dark guiz, nshampost hapa. Na kuchomekea kwake
haina maajabu.
Suruali ya kitambaa kuvaa mnyonyo ni kuikosea heshima. Piga jeans na cardet mnyovyo ndio utakuwa umepatia. Sasa suruali ya kitamvaa ikiwa mnyonyo si inaweza ikaachia nyuzi 😃😃Na mie naona haswaaaah.
![]()
mbavu zangu coca😂😂🤣🤣🤣🤣useme shuka la kimasai, sio pazia.
Jaman wananoga nn nawee? Cadet haichomekewi bhana wee.Ila si umeona wanavyonoga?





Ndio yenyewe hakuna kujibanana shati kuubwaa kama pazia la sinema...
Na mkuki moyoni chini...
goja aje Wigelekelo na nimekumbuka Shangazi maana hata siku ile .. safi kabisaaa hakuna haja ya kuwa na makuuu


Kwani nguo nyingine zinachomekewa ili iweje?Inachomekewa ili iweje?![]()
Mie ni mtu wa casual 100%, nimejaribu sana ku shift nimechemka, hadi kuna vikao vingine ukiachana na sherehe ambavyo hawaruhusu casual ila huwa naenda hivyo hivyo ila kwakuwa wanashida na kichwa changu wananichunia na pia ni mtu ambae huwa napenda kuwa opposite na kundi kubwaaa la watu kwenye sherehe kwenda na sandals kawaida kabisaa 😅😅🙄Ukiwa unaenda kwenye sherehe huwa unavaaje mjomba..
Suruali ya kitambaa kuvaa mnyonyo ni kuikosea heshima. Piga jeans na cardet mnyovyo ndio utakuwa umepatia. Sasa suruali ya kitamvaa ikiwa mnyonyo si inaweza ikaachia nyuzi![]()








mbavu zangu mie, woiiiiiih.Aah wapi, full kunogaaaJaman wananoga nn nawee? Cadet haichomekewi bhana wee.![]()
Asante sana ma mchungaji!!😘🤸Ila si umeona wanavyonoga?
Sema vizuri kumjua mtu wengine mioyo yao miepesi si watu wa matani kidogo anapanicKamanda wangu wige akiona unapaniki anakupiga na la kipepe halafu anachimba![]()
Sasa sio cadet mama malezi jaman. Kwan kila nguo lazima ichomekewe? MmmhKwani nguo nyingine zinachomekewa ili iweje?
Nilikuwa nimevaa suruali ya kitambaa ipo slim imenikaa na shati ya mikono mirefu nimechomekea, na moka flani zimenyooka sana, nilikuwa nasubiria gari, nilikuwa nimening'iniza tai nyembamba kifuani.Ila wanamke wanapenda sana watu wao wapendezee hasa wanaume wao wawapendao
Wauweeeee 🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸!Aah wapi, full kunogaaa
Semeni hapa watu waone.Nilikuwa nimevaa suruali ya kitambaa ipo slim imenikaa na shati ya mikono mirefu nimechomekea, na moka flani zimenyooka sana, nilikuwa nasubiria gari, nilikuwa nimening'iniza tai nyembamba kifuani.
Kuna dada mmoja alikuwa ananiangalia mpaka naingia garini halafu ilikuwa pisi ya maana, that day nilikuwa napata attention sana toka kwa wanawake wale early 30's and above.
Nilifahamu kweli wanawake wa umri fulani wanapenda aina fulani ya uvaaji.
Sasa mkuu wameshatusema sana kuhusiana na kuvaa mashati ya suruali na sisi tuanza kusema tunavyopenda.




