Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Kwa jinsi ulivyomjombaa
Halafu limtu lenyewe nilisukuma
linagubuu...
Sasa sijui mtabondanaje ndugu![]()
Kwa rangi hiyo
Aawwww
Tuvumilie tu
Kwa jinsi ulivyomjombaa
Halafu limtu lenyewe nilisukuma
linagubuu...
Sasa sijui mtabondanaje ndugu![]()
Kwaiyo sie inakuwaje jiraniii 😒😒😒Unasema nini coca? (in masantula's voice)
Hapo ukute ni tall dark guy kagonga vitu vyake sasaView attachment 2221557View attachment 2221559View attachment 2221560
Afu coca anadiss mchomeko wa cadet







jaman hata mr kahawa, ambition wamesema hawachomekei, means nn? Msiwe wabishi lol.Nimeiona shangazi, huwa nagongea kwa baba Mchungaji siku mojamoja.Kuna buti mjomba ametupia hapo huwa nazikubali sana wajomba wakivaa..
Travolta ni vya watu wa benki![]()



nakusoma mkuu.😅😅😅 ni vi bukta, na vimini , nywele ziwe fupi au natural kama suruwale ile ya kushika mwili flani hivi sijui kipedo sijui shart sijui iwe kwa juu kidogo kama inaachia kitovu hivi na kashang kama ka gold hivi kamoja kanakuwa kama kanaoneka.. sunday basi ni mwendo wa kiofisi alafu kikuu huwa vinaongeza urembo wao marashi ya gucciw au versarch.. hatari sana alafu awe sport sport girl flani akila snikcer hatari au rabaa hivi noma
Tunachangamsha selfika dear huku ni amani na utulivu 😘😘!
Bora avae suti tyuuh, sio cadet afu anachomekea khaaaah.coca mambo yake tumuachie mwenyewe!







Mama mchungaji unajua sanaNimeiona shangazi, huwa nagongea kwa baba Mchungaji siku mojamoja.
Nilimaanisha boots za kupanda hivi na sio Travolta moka za wakuu
View attachment 2221573

Jirani basi mimi najuaga Kila kitu kilichopanda juu ni Travolta, regardless ni boot au hizo moka za kiboss; au?Travolta vya maboss![]()
Yes mamii naelewa hamna kilichoharibikaTunachangamsha selfika dear huku ni amani na utulivu!

Mkuu kwenye outfit hatuwezi fanana, mwisho wa siku unakutana na anaependa mapigo yako.Hewa kama yote![]()
Weuweeeeeeeeeee hapa sasa ndo penyeweee, pandisha juuu.Nimeiona shangazi, huwa nagongea kwa baba Mchungaji siku mojamoja.
Nilimaanisha boots za kupanda hivi na sio Travolta moka za wakuu
View attachment 2221573
wee acha tu anakua very smart shos!!Bora avae suti tyuuh, sio cadet afu anachomekea khaaaah.![]()
Mie sivutiwi kabisaa yaan aaaah wee.wee acha tu anakua very smart shos!!





Mie ni mtu wa casual 100%, nimejaribu sana ku shift nimechemka, hadi kuna vikao vingine ukiachana na sherehe ambavyo hawaruhusu casual ila huwa naenda hivyo hivyo ila kwakuwa wanashida na kichwa changu wananichunia na pia ni mtu ambae huwa napenda kuwa opposite na kundi kubwaaa la watu kwenye sherehe kwenda na sandals kawaida kabisaa![]()

Hapa mgeni jirani.. Travolta najua vile vya maboss flani hivi.. Timberland nayo ni travolta au safari bootJirani basi mimi najuaga Kila kitu kilichopanda juu ni Travolta, regardless ni boot au hizo moka za kiboss; au?