cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
Baba pasta Wazee ndio tunapenda hivo kina cocastic hawataki huo wanaita ushamba!!![]()






Jaman kweli cadet anachomekea?Baba pasta Wazee ndio tunapenda hivo kina cocastic hawataki huo wanaita ushamba!!![]()






Jaman kweli cadet anachomekea?Vizuri sanaaa, ningekuwa natunza hivi vingekuwa vimejaaa ila ndani ya miezi sita lazima unakuta vijana wananivua![]()
Kupendeza sana huwa kunaendana na ubinafsi, japo sio wote..Mwanaume anae jijari na kupendeza huwa wanakuwa wastaarabu ingawa sio wote.. wengine ukikuta hivyo ni kipengelee 😅😅😅😅
😅😅😅 mtu wangu anapata sanaaa tabuuu maana mie napendaa utani to the maximum.. na kadri anavyo kasirika ndio nachochea motooo hadi a freez ndio tunaanza kazi ya kurudishana sawa kwa utani tena.. utani unafanya vitu flani viendeKwakweli wengine unajua hawajui utani..
Shos mbavu zangu mieee 🤣🤣🤣😂😂😂😂Jaman kweli cadet anachomekea?
Sina hata pic leo rafiki.Tupia kwanza basi rafiki.. mie kuchomekea nitadondoka aseee nitakuwa sipo comfortable kabisaa
Mwanamke ana party kubwa ya kulinda ndoa na mahusiano ... nyie wenye rangi za gold tunajua huwa mkiamua kua good wife yani huwa ni.. Hongerani sana mashangazi zangu


Na ndio huwa nachukua hivyo .. 😅😅 sema wakati mwingine unaona aibu unawaachia tu.. ila kuna vingine hadi roho inaumaBora wanavyokuvua
We unachukua toleo jipya
Halafu napenda vile vya kupanda pia..
hatari sanaaaa , niumekosaje shangazi

tupia hata ya mwaka kesho rafiki au mwaka juzi 😅😅😅
Yani nahakikisha kitambaa kinaishaZile za mapana 60![]()
shangazi shangazi 🙄🙄🙄🙄😜 mweh!!Namuaminia sana madam yuko vizuri sana..![]()
🙄🙄🙄🙄😬😬 goja aje Wigelekelo na nimekumbuka Shangazi maana hata siku ile .. safi kabisaaa hakuna haja ya kuwa na makuuuMjomba tunaongelea ishu ya hapa
Hujaelewa...
KDadeqqq 🙌🙌🙌
Safi sana afisa from TRA ... umetoka chicha mkuu ..
Shos mbavu zangu mieee![]()





Iko siku ntamtolea uvivu, wee subiri tyuuh.🙄🙄🙄🙄🙄Kmamaeeee 🙌🙌🙌
Shikamoo bossi😘😜