Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,193
- 183,012
Wa tigo kujeni muwahiii
Wa tigo kujeni muwahiii
Ndaga nkamu
Sio hivyo nawee, casual ile classic mwaya. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahah ...japo nguo inategemea na sehemu au tukio ila binafsi mwanaume mvaa vipensi au suruali zilizochanika chanika sijui! [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]!!!
ntaselfika badae shos!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mie nishapita kwenye ujana maji ya moto,coca na mawardat tatizo umri bado na ujana ujana ndio unawaendesha sio kosa lenu! !
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakaribia menoupause, sema mayai nilikaangia chips, sina hata mtoto, utasa huyu jomoneee. Uwiiiiih[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mie nishapita kwenye ujana maji ya moto,
Huyu coca sasa[emoji91]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Mie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakaribia menoupause, sema mayai nilikaangia chips, sina hata mtoto, utasa huyu jomoneee. Uwiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nasubir kwenda kusafisha kizazi tyuuh. Sina jambo nacho. MweeeeehKama Mie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
namtafuta kibabu kimoko,tuzae kitoto kimoko[emoji7]
Sent using Jamii Forums mobile app
Broo na sie wa TTCL vepeeeee
Ubarikiwe
😅😅😅 Una block then Unblock , Unaifuta namba ila imekaa kichwani .. kila saa una type message unafuta mwisho wa siku huyoooKama kweli sema nimtumie mjukuu kizawadi sasa hivi. Usije tu ukambembeleza mpaka akaku-unbloku. Naomba sana ubakie kwenye bloku daimaaaa !!!
View attachment 2221137
6million ni hela ndogo sana kulialia kuipoteza FX .. Mentor kujua valid au invalid muambie akuoneshe history ya account yake ili uone consistency yake.. Kitabu ni kweli hata vyuoni tumesoma vitabu ila tumeshindwa weka kwenye real application so hapo sio tatizo la muandishi ni tatizo la msomajiKuna jamaa yangu kaliwa 6m juzi hapa, nilimwambia hakunisikia.
Hawa Fx mentor anakuambia anabadili $500 kuwa $1m halafu anauza kitabu chenye siri ya kupata utajiri kwa $100 au $50..
Classmate wangu wa primary wote wamefyatua bado mie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nasubir kwenda kusafisha kizazi tyuuh. Sina jambo nacho. Mweeeeeh
Pandee hii hazipatikati chiefBroo na sie wa TTCL vepeeeee
Huyu mzee atakuponza[emoji23]Mkuu hilo ni la muhimu, ni jukumu la kila mtu kuliwakilisha vyema Taifa.🙂
😒😒😒😒Pandee hii hazipatikati chief
Huku Tarime hatutumii hizo bahati mbaya mkuu
Hebu fanya haraka sana ushushe kitu, hata kwa kupandikiza fanya mafekeche. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe una kipili pili, ila kiko vizuri kwa kiduku cha dreads, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizo nimeziwekea rough… ndio maana unaona hivyo ulivyoona…Kumbe una kipili pili, ila kiko vizuri kwa kiduku cha dreads, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu onesha dimpoz nawee.