Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,498
- 235,198
Muache tu huyo mtotoU got it personal, uwe unanyamaza una nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunajuana
Muache tu huyo mtotoU got it personal, uwe unanyamaza una nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Upo vizuri, unacheza hiyo michezo? Mimi nacheza basketball [emoji459]
Emu nipm kabla sijasahau shida zangu..[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Mnajuana nyie
Unacheza nafasi gani[emoji848]
Nimeupenda huo ujumbe ndugu[emoji123][emoji123][emoji123]
View attachment 2215962
Tangu picha ya Sophy inanigomea kuquoteNimeshaifuta. Quote hapahapa[emoji23][emoji23][emoji23]
Poa, wewe hujaweka kofuli,Emu nipm kabla sijasahau shida zangu..
Adabu halafu mnaishi kibabe tu hata hainogi[emoji19]Yaani ni shida ndo maana wanawake zao Wana adabu Sana aisee
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hukukaza labda[emoji4][emoji4]
wewe ni Mungu utukufu wako umetamalaki,The night is dark but I am not forsaken
For by my side, the Saviour He will stay
I labour on in weakness and rejoicing
For in my need, His power is displayed
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunawatumishi wengi humu, haka kasehemu ndiyo maana kana upako, ukiwa na kauchovu ukaja kuperuzi humu unajikuta uchovu unapunguawewe ni Mungu utukufu wako umetamalaki,
Hakuna wa mfano wako Mbinguni na duniani, "sema haufananishwi"
Haufananishwi Bwana,
Haulinganishwi Bwana,
Haufananishwi Bwana,
Haulinganishwi Bwana,
Unamamiliki Mfalme
unatawala bwana
Umeshafungua PM?Emu nipm kabla sijasahau shida zangu..
Nacheza Sana na nachezesha pia nafundisha nikiwa nimeshiba lkn[emoji16]Upo vizuri, unacheza hiyo michezo? Mimi nacheza basketball [emoji459]
Wewe sophy ni kiboko hadi football [emoji460], unachezaji football [emoji460] wakati unaoneka mtoto laini wewe wa KizanzibariNacheza Sana na nachezesha pia nafundisha nikiwa nimeshiba lkn[emoji16]
Sahiz umri umeenda siruki ovyoovyo
Basketball sijawahi kufatilia Ila football nilichezaga maramoja ujanani [emoji23]ya wanawake lkn
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Za Mbeya Rafiki, karibu tubutuliwe na baridi.Mzima za wapi
Aisee iyo kuapproach tu jamaa anakwambia nakuomba uje tuongee saa nane mchana nakutumia usafir [emoji23][emoji23][emoji23]ndugu yangu hata sijaringa kidogo kha hata sijakubali siyawezagi hayo [emoji38]Adabu halafu mnaishi kibabe tu hata hainogi[emoji19]
Raha ya mwanaume umtingishe kidogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2096]
Umri umeenda wap na wewe watu mnapenda uzee ee [emoji16]Nacheza Sana na nachezesha pia nafundisha nikiwa nimeshiba lkn[emoji16]
Sahiz umri umeenda siruki ovyoovyo
Basketball sijawahi kufatilia Ila football nilichezaga maramoja ujanani [emoji23]ya wanawake lkn
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Nimekaa sana huko enzi za shule naijua mbeya vizuri mno na naipenda, nitakuagiza mchele, aiseh mchele wa mbeya ni matatizo nilikua naagiza sana nikaja kuacha ila ukipika huo mchele jirani lazima ombe kujua umenunua wapi mchele kwa harufu tu ilivyo nzuriZa Mbeya Rafiki, karibu tubutuliwe na baridi.