Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ingawa sipendagi hizi Stori za kusifiana sifiana uzuri hasa Kwa mwanaume Ila Ngoja nikuambie kitu mrembo wangu..

Haijalishi mwanaume au mwanamke anaponda kiasi gani kuhusu kumiliki mwenza mzuri wa mwonekano ..uhalisia ni kwamba kila binadamu anapenda amiliki mwenza anayevutia Kwa mwonekano..hizi Stori za napenda mwanaume personal ni kufurahisha genge tu

Nakuja na fact nyingine...
Sasa mie ndo napenda wale wa too personal, lazima iwe tofauti kat yangu na yake, akuuuuh.

 
mwisho..

Kila mwanamke anapenda kuwa na mwanaume anayevutia.Kinachofanya mwanamke anakuja na kauli km yako ni either aliumizwa na hao mnaowaita wenye mwonekano au hajiamini..anahisi atatendwa,au ataibiwa,au atasumbuliwa akiwa kwenye ndoa/mahusiano (watu wengi shuhuda zao ni zinazunguka hapo endapo utajaribu kutuliza swali)

Kwa hiyo ana-opt kuchagua hao "personal" ili mambo yasiwe mengi kipindi kwenye ndoa/mahusiano

Hii ina-apply na Kwa wanaume pia,ndy maana wanaume wanapenda Kusema wanawake wazuri ni wa show off Tu,Ila ukitaka kuoa tafta mwenye Sura personal ili maisha yaende..
niko tofauti mnoo na hizo tafiti zako.
Nwei mambo yasiwe mengi, tuishi humo tyuuh.
 
Back
Top Bottom